Bank M-Connecting the dots...

Bank M-Connecting the dots...

Mr Patel has extensive commercial interests in Tanzania and is a senior director of Export Holdings (Pty) Ltd and Managing Director of the Sea Cliff and White Sands Hotel in Dar es Salaam.

Eeenh, hawa watu ndio watakaoimarisha uchumi wa Tanzania, na kumwondoa Mmatumbi wetu kwenye rindi la ufukara!
Ukiuliza, unaambiwa 'Uchumi Huria'; si wanalipa kodi bhwanah! Wewe unataka nini?

Sisi wengine, ukijikunja kwelikweli na kuvuja jasho, na kwenda kujiliwaza kidogo hapo Sea Cliff, au White Sands Hotel na Mpango wa Kando, siku hiyo moja unajisikia uko mbinguni na kujisifu kwa washikaji: Tanzania tumeendelea bhwanah. Tuna mahoteli kedekede. Tupo kama Ulaya Bhwanah!

Siku inapita na kesho yake unarudi kwenye maumivu yako ya kila siku; huku akina Junior, hata shule ni matatizo tupu!
 
Hakika kunahitajika uthubutu na utashi wa kisiasa wa viongozi kuyageuza majabali ya uchumi katika nchi tegemezi.

Ila ukweli unaojidhirisha, katika Awamu hii ya Utawala, hakuna jiwe ambalo litaachwa jinsi lilivyo, lazima litageuzwa au kuchimbuliwa kuona kilichofunikwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tutaona. Soma vyema lakini, unamfahamu RA?
 
Chini ni listi ya makampuni yaliyochota pesa za EPA na majina ya wamiliki wake ambapo jina la mwanzilishi wa Bank M Vimal Mehta limetokea mara nyingi!

Juzi RA alikuwa ikulu, lakini RA alishiriki kikamilifu kwenye issue ya EPA kwa kupitia kampuni ya KAGODA! Na Vimal Mehta ambaye ni mojawapo wa waanzilishi wa Bank M, ni marafiki wote na kina RA.

Listi kamili...

1.
COMPANY NAME: B.V Holdings Ltd


Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


2.
COMPANY NAME: V & B Associates Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


3.
COMPANY NAME: Navy Cut Tobacco Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


4.
COMPANY NAME: New Mattalan Mining Company Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


5.
COMPANY NAME: Bora Hotel and Apartments Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


6.
COMPANY NAME: Noble Apartments Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


7.
COMPANY NAME: Noble Azania Industries

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


8.
COMPANY NAME: Ocean Side Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


9.
COMPANY NAME: Bencon Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


10.
COMPANY NAME: Ndovu Soaps Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


11.
COMPANY NAME: Bina Resorts Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


12.
COMPANY NAME: Venus Hotels Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


13.
COMPANY NAME: Njake Hotels Ltd

Shareholders and Directors: Japhet Laiyandumi Lea, Anna Japhet Lema, Abel Japhet Lema, Derick Japhet Lema and Bernard Japhet Lema

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


14.
COMPANY NAME: Money Planners and Consultants Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


15.
COMPANY NAME: Excellent Services Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


16.
COMPANY NAME: Mibale Farms Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


17.
COMPANY NAME: Liquidity Services Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


18.
COMPANY NAME: Meregesi Law Chambers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


19.
COMPANY NAME: Clayton Marketing Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


20.
COMPANY NAME: M/s Rashtas Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?



21.
COMPANY NAME: Kiloloma and Brothers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


22.
COMPANY NAME: Kiloloma and Brothers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


23.
COMPANY NAME: G & T International

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


24.
COMPANY NAME: Kernel Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


25.
COMPANY NAME: Proin Estate Agents

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


26.
COMPANY NAME: Changanyikeni Residential Complex

Shareholders and Directors: Samson Mapunda & Jason Van De Merwe

Related Company: Samson Mapunda/ F.K Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Plot No. 397 Sinza New Intl. School


27.
COMPANY NAME: Executive Solutions Ltd

Shareholders and Directors: Aggrey Marealle & Duncan Stevens

Related Company: Duncan Stevens/F.K. Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Ocean Road


28.
COMPANY NAME: Executive Solutions Ltd

Shareholders and Directors: Aggrey Marealle & Duncan Stevens

Related Company: Duncan Stevens/F.K. Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Ocean Road


29.
COMPANY NAME: Kagoda Agriculture

Shareholders and Directors: Rostam Aziz

Related Company: Caspian Ltd

Office Location: Plot 77, Nyerere Road (Kipawa Industrial Area)

Residence Address: ?
Hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv kumbe serikali " kupigwa " pesa ndefu haikuanza leo,duh ngachoka kabisaa!!
Talking abt 50 billions in 1990 is alot of money.
Mipango hii (kama mleta thread uko sahihi) kama ilikua inapangwa miaka ya 70 na Mwalim Nyerere akiwepo (mfano hiyo program ya DCP) ilikuaje ikawa inapita kirahis namna hii wakat wenyewe tunaaminishwa kuwa vijana wa zamani ( wazee wetu) eti ndio walikua wazalendo na uadilifu na walikua wasomi na wana akil kuliko sisi vijana wa sasa a.k.a .com ??

Yaan na elimu ya mkoloni kwel walikua wanapotisha mipango ya kipumbavu namna hii?? Sasa sisi tuliosoma elimu iliyochakachuliwa wana tarajia tufanye nin??

Halafu umuhimu wa taasisi za kiusalama kama tiss basi zilikua zina kazi gan na umuhimu wake uko wap? Maana tunaambiwa Tiss ya enzi hizo ilikuwa imejaa wazalendo kwel kwel wenye weledi wa hali ya juu wasiotanguliza maslah kama hawa vijana wa tiss-ccm wa leo!! Maana kama tunaaminishwa tiss ilikua na uwezo wa kupambana na vyombo vya kiintelijensia vya mataifa ya nje (enzi za ukombozi wa nchi za kusin mwa afrika) na wakawa na uwezo wa ku contain na kupata taarifa nyeti za nje Walishindwa vp kupata taarida hiz za ndani kuhusu ubadhirifu huu uliokuwa unafanywa dhidi ya serikal?
Oky tuseme walishindwa kuzuia basi hata kushauri baadhi ya maamuzi?

Kwel we have a long way to go.
 
aheri ya haya kuliko hayo!
Wewe unaningoja na Mimi ninakudibiri!
 
Huyo mhindi alikua akinunuaje madeni then analipwa na serikali.Ufafanuzi tafadhari.
Teh teh teh!! Mzee hapo mwenyewe pamenichanganya kwel na nimejitahid kuelewa ila wap.Nadhan ndio elim za kayumba hizi tofauti na zile elim pure za mkoloni walizopata viijana wa zamani a.k.a wazee wetu mpaka wakawa na akil za kuuza madeni. 😛😛
Ila kwa nilichoambulia ni vile chukulia mfano Local tu wa jinsi benk siku zinavyo nunua madeni ya wateja wao wanaodaiwa na taasiai zingine.

Mfano bodi ya mikopo heslb wanakudai ml 13 halaf kule ambako mshahara wako unapitaga na unapokopaga pesa mfano nmb wakaja na proporsal ya kulibeba deni lako ( yaan badala ya wwe kudaiwa na heslb,nmb wanachukua nafasi yako kama ndio wanaiwa hizo m13).
Baada hapo ww unakuwa hudaiwi na heslb bali unadaiwa na watu wako wanaokutunziaga pesa na hata ukitaka wanakukopesha (yaan hapa nmb anajifanya kama mweeeema sana) kumbe katika hiyo m13 anakupiga na Interest ya % kadhaa kwahiyo hutalipa tu m13 bali zaidi ya hiyo.

Kumbuka hapa kuwa mdeni wako wa kwanza (heslb) alikuwa ameshaku chaji interest yake ya % kadhaa kwahiyo nmba akinunua deni lako anakuchaji tena interest nyingine.Kwahiyo unajikuta unapoigwa ma interest juu ya interest!

Halaf kitakacho kuuma zaid hapa ni kwamba hujui nmb na heslb wameingia agreements gan kwenyw kununua hilo deni lako.Unaweza kuta wao wanapewa mashart nafuu kuliko ww kwe ye ulipaji na pia kama healb wataamua kusamehe deni lao basi ujue nmb ndio watakaosamehewa lakin ww utaendelea kuilipa ile m13 ya nmb na interset juu.

Samahn kama nimejieleza badala ya kujibu swal lako maana mm sio mtaalamu wa haya mambo.
Ila mwisho wa siki looser ni wewe a.k.a mnunuliwaji a.k.a serikali iliyouza deni kwa mhindi (nmb)
 
jmushi1, yawezekana wapo wanaokubaliana na mimi kuwa adui mkubwa wa taifa hili ni CCM; niliamini hivyo, naamini hivyo na nitaendelea kuamini hivyo. Sijui tuko wangapi tulioikataa CCM toka kuasisiwa kwake mwaka 1977 lakini mwasisi wa CCM, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baada ya kutambua kosa lake la kuanzisha hili zimwi alisikitika sana. Bahati mbaya ni kwamba wakati huu ukweli unajiweka wazi kwake, hakupata nafasi ya kuongoza mapambano dhidi ya hilo zimwi; zimwi lilimwahi akaaga dunia akihuzunika na kulia kwa uchungu.

Hakuna muujiza utaweza kufanyika kuliokoa hili taifa ikiwa bado iko mikononi mwa CCM na ili Tanzania ijikwamue kutoka lindi la umasikini wa kujitakia, CCM lazima ipigwe vita na kushindwa. Bila hivyo ni kujidanganya. Nchi hii ilijaaliwa kila aina ya neema na hakuna nchi ndani ya bara hili lililokuwa na utajiri wa asili kama Tanzania lakini hivyo hivyo hakuna nchi barani Afrika linaloongozwa na chama kama CCM. Wana CCM wa leo wamezaliwa humo humo, wakalelewa humo humo, wakakulia humo humo, wakakomaa na kufuzu humo humo;

Ukweli mchungu...kila awamu litakuwa ovu kuliko lililotangulia.
Siku zote naamini namna hii CCM ni adui namba moja wa Tanzania wajinga hawataki kuamini hili ila huo ndio ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawewe unaamini hiki ulichoandika! wanaowaita wadanganyika hawakosei
Hakika kunahitajika uthubutu na utashi wa kisiasa wa viongozi kuyageuza majabali ya uchumi katika nchi tegemezi.

Ila ukweli unaojidhirisha, katika Awamu hii ya Utawala, hakuna jiwe ambalo litaachwa jinsi lilivyo, lazima litageuzwa au kuchimbuliwa kuona kilichofunikwa.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeisoma kwa taabu sana, kwa sababu sio eneo nililonalo uzoefu; kwa mfano, jinsi ya ujanja wa "Ununuzi wa Deni" la taifa kuwa kilio chetu!

Halafu, leo akina Lissu wanaitwa "wasaliti"; kweli kuna usaliti wa kuzidi haya yanayoelezewa kwenye taarifa hii? Tumetoka EPA, tumeingia Richmond na maEscrow! Hawa "wazalendo" wetu wa CCM, ndio tuwategemee kwa haya yanayoendelea kuibuka kila kukicha?

Inasikitisha sana.

Ngoja nikaisome tena hii taarifa mara ya pili, labda nitapata uelewa mpana zaidi.
Ununuzi wa madeni ilikuwa kama ifuatavyo:
Kampuni A ya Uingereza inaidai Tanzania Pound 1 million kwa muda mrefu sana. Tanzania haina pound za kulipa. Kagoda wanaingia mkataba feki na Kampuni A kuwa deni la kampuni A alipwe Kagoda kwa fedha za Tanzania kwa condition kuwa Kagoda ataendeleza mashamba ya mkonge. Kagoda akilipwa anatumia kwa shughuli zingine. Uwezekano mkubwa kampuni A ilishasamehe deni ila halikufutwa BOT. Kulikuwa na documents nyingi kipindi cha Jamboforums zilizokuwa uploaded kuhusu saga hii ikiwa pamoja na hiyo mikataba feki.
 
Back
Top Bottom