Bank M-Connecting the dots...

Bank M-Connecting the dots...

Baada ya azimio la Arusha kupitisha sheria ya marufuku ya viongozi wa serikali kujihusisha na biashara, viongozi wengi waliwatumia hawa wahindi "kuwashikia" mali zao, sio kama wahindi wote ni servants tu wa wakubwa behind the curtains lakini wengi ambao biashara zao na mitaji yao ina linkage na serikali ya awamu ya 2 na 3 ni vibaraka tu wa wakubwa.
 
Subash Patel ndio mmiliki wa Alaf mabati na Sayona?

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi...

Sayona is a part of The Motisun Group, a privately-owned diversified business conglomerate based in Tanzania with various manufacturing companies in building materials such as steel, roofing products, cement, plastic tanks, pipes, paints etc. It is also present in sectors such as real estate, logistics, food and beverages and hospitality. Our geographic reach encompasses southern, central and eastern Africa and have our own manufacturing facilities located at Tanzania, Mozambique, Zambia and Uganda.

Under the able leadership, guidance and vision of Mr. Subhash M. Patel – Group CMD, Motisun Group has become one of the most successful business brands in Africa. The group’s investment in Africa while fostering economic growth and development provides ample employment opportunities to the local youth. To date, Motisun Group directly and indirectly provides employment to over 10,000 people.
 
Baada ya azimio la Arusha kupitisha sheria ya marufuku ya viongozi wa serikali kujihusisha na biashara, viongozi wengi waliwatumia hawa wahindi "kuwashikia" mali zao, sio kama wahindi wote ni servants tu wa wakubwa behind the curtains lakini wengi ambao biashara zao na mitaji yao ina linkage na serikali ya awamu ya 2 na 3 ni vibaraka tu wa wakubwa.
Nahisi haya makampuni waliyonayo Sasa kama aliyotaja misasa , chanzo cha pesa ndiyo hicho. Na huyu misasa ni ccm, lakini anafahamu wazi kabisa huu umasikini umesababishwa na ccm.
 
Nahisi haya makampuni waliyonayo Sasa kama aliyotaja misasa , chanzo cha pesa ndiyo hicho. Na huyu misasa ni ccm, lakini anafahamu wazi kabisa huu umasikini umesababishwa na ccm.
Hayo yote uliyoandika yanaangukia kwenye policy ya The Parastatal Sector Reform Commission (PSRC) and Privatisation Policy iliyopigiwa chapuo na Mkapa kwa nguvu zote na within 2 years tayari zaidi ya makampuni na mashirika ya serikali (yakiwemo hayo mashamba ya kina Patel huko Tanga, Arusha etc) zaidi ya 150 yalikua tayari mikononi mwa private sectors.

Sasa wewe unaweza kua mchinja nyama lakini hujikatii hata pande dogo la kupeleka nyumbani? Mkapa is behind all this mess na wala haihitaji nguvu kujua.
 
Hili suala la Bank M limedhihirisha udhaifu mkubwa sana wa serikali ya ccm ambao sidhani kama mtu mmoja anaweza kuufuta zaidi ya usanii tu inapotokea wanagombana wenyewe kwa wenyewe!

Hii benki M pamoja na kuhusiana na ufisadi wa EPA, pia imekuwa “ikibebwa” sana na serikali za ccm. Na hivyo kutumia jasho letu sisi walipa kodi! Hata hizo pesa za ufisadi ziliondolewa huko ndo maana! Na mambo mengi sana yamefanyika ili kuificha hiyo connection toka kipindi kile. Kwa mfano Sasa hivi hao jamaa wanaendelea na ma biashara yao makubwa, lakini ukijaribu kutafuta connection yao na EPA au hata bank M, wamefuta! Hata ile mijadala iliyokuwa ikionyesha hizo connections hadi na Mkapa siioni! Hata habari zilizokuwa zikizungumzia hilo! Thread za Jf za namna hiyo, zimegeuka kuwa pdf files zisizo na kitu. Links zimegeuka “a bridge to nowhere”

Like “poof” they disappeared in thin air!
 
Hayo yote uliyoandika yanaangukia kwenye policy ya The Parastatal Sector Reform Commission (PSRC) and Privatisation Policy iliyopigiwa chapuo na Mkapa kwa nguvu zote na within 2 years tayari zaidi ya makampuni na mashirika ya serikali (yakiwemo hayo mashamba ya kina Patel huko Tanga, Arusha etc) zaidi ya 150 yalikua tayari mikononi mwa private sectors.

Sasa wewe unaweza kua mchinja nyama lakini hujikatii hata pande dogo la kupeleka nyumbani? Mkapa is behind all this mess na wala haihitaji nguvu kujua.
Exactly bro, Mkapa ndiye pamoja na wenzake, waliianzisha hiyo benki kwasababu hizo. Baada ya kelele wakabadilisha kidogo. Lakini imeendelea kuwepo. Ni kweli pia ilipitisha hizo pesa kusafisha, wakazitoa na wakawekeza huko kwingine, benki iliyumba sana kwasababu ilifunguliwa kwa minajili hiyo.
 
Hivi huyu V.G Chavda yumo nchini? Mwaka 2007 alirudi kinyemela!

Nov 19, 2007
#1

Fresh controversy erupts over current immigration status of notorious businessman deported in 1996

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

CONFUSION surrounds the current immigration status of controversial businessman Vidyadhar Girdharlal Chavda, who was kicked out of the country in the 1990s following his alleged involvement in massive funds misuse at the Bank of Tanzania.

The Indian national better known as V.G. Chavda was declared a prohibited immigrant (PI) and deported in 1996 after being implicated in various improprieties linked to the erstwhile debt conversion programme (DCP) - much similar to the present-day BoT external payment arrears (EPA) scandal.

Official government records show that Chavda was heavily incriminated in the course of a parliamentary probe into the allegations of widespread fraud and embezzlement of hundreds of millions of shillings under DCP auspices.

The report of the 1994 parliamentary probe team, chaired by then legislator Edward Oyombe Ayilla, recommended that Chavda should be prosecuted in court, declared persona non grata, and expelled from the country.

But according to sources familiar with the case, after his 1996 deportation V.G Chavda briefly returned to Tanzania in September 1997, and again re-entered the country in March 2002.

It is understood that the prominent businessman was allowed back into the country on the basis of his being required to testify in judicial proceedings in local courts.

However, records also show that when Chavda was initially deported, government authorities stated clearly that his physical presence would not be necessary for the court cases, and instead he could be represented by private lawyers or even his wife.

It has further been learnt that in 2003, the High Court in Dar es Salaam issued another order for Chavda to leave the country latest by March 10, 2006.

He then rushed back to court to seek an injunction to stop the Immigration department from expelling him to his home country of India.

And in 2004, the then Jaji Kiongozi Hamisi Msumi, issued a ruling that directed the Immigration department to issue Chavda with ’’the relevant immigration document which will entitle the applicant (Chavda) to legally stay in Tanzania until the cases filed against him are completed, or for an aggregate period of two years, which ever precedes the other.’’

According to Msumi’s ruling, the two-year period was supposed to end on March 11, 2006, after which Chavda would have no legal status to stay in Tanzania whether the cases against him were concluded or not.

Independent legal experts contacted by THISDAY now describe Chavda’s latest reported re-entry into the country as a clear violation of the Immigration Act of 1995, which prohibits any person declared a prohibited immigrant from being granted a permit to enter Tanzania.

Noting that the law also states that ’’entry to Tanzania by a foreigner is only possible either by the non-citizen holding a residence permit or visitor’s pass,’’ the legal experts said they were quite baffled as to how Chavda was able to return to the country despite being officially deported.

When contacted in Dar es Salaam, Immigration Services authorities could also not immediately explain the cloud of mystery surrounding Chavda’s current immigration status.

A spokesman for the department, Abdi Ijimbo, requested more time to come up with a comprehensive statement when asked by THISDAY to comment on the matter.

Source: ThisDay
 
Hivi kweli adhabu ilikua ni kum deport pekeee. ? .si alitakiwa kua jela. ?
Hivi huyu V.G Chavda yumo nchini? Mwaka 2007 alirudi kinyemela!

Nov 19, 2007
#1

Fresh controversy erupts over current immigration status of notorious businessman deported in 1996

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

CONFUSION surrounds the current immigration status of controversial businessman Vidyadhar Girdharlal Chavda, who was kicked out of the country in the 1990s following his alleged involvement in massive funds misuse at the Bank of Tanzania.

The Indian national better known as V.G. Chavda was declared a prohibited immigrant (PI) and deported in 1996 after being implicated in various improprieties linked to the erstwhile debt conversion programme (DCP) - much similar to the present-day BoT external payment arrears (EPA) scandal.

Official government records show that Chavda was heavily incriminated in the course of a parliamentary probe into the allegations of widespread fraud and embezzlement of hundreds of millions of shillings under DCP auspices.

The report of the 1994 parliamentary probe team, chaired by then legislator Edward Oyombe Ayilla, recommended that Chavda should be prosecuted in court, declared persona non grata, and expelled from the country.

But according to sources familiar with the case, after his 1996 deportation V.G Chavda briefly returned to Tanzania in September 1997, and again re-entered the country in March 2002.

It is understood that the prominent businessman was allowed back into the country on the basis of his being required to testify in judicial proceedings in local courts.

However, records also show that when Chavda was initially deported, government authorities stated clearly that his physical presence would not be necessary for the court cases, and instead he could be represented by private lawyers or even his wife.

It has further been learnt that in 2003, the High Court in Dar es Salaam issued another order for Chavda to leave the country latest by March 10, 2006.

He then rushed back to court to seek an injunction to stop the Immigration department from expelling him to his home country of India.

And in 2004, the then Jaji Kiongozi Hamisi Msumi, issued a ruling that directed the Immigration department to issue Chavda with ’’the relevant immigration document which will entitle the applicant (Chavda) to legally stay in Tanzania until the cases filed against him are completed, or for an aggregate period of two years, which ever precedes the other.’’

According to Msumi’s ruling, the two-year period was supposed to end on March 11, 2006, after which Chavda would have no legal status to stay in Tanzania whether the cases against him were concluded or not.

Independent legal experts contacted by THISDAY now describe Chavda’s latest reported re-entry into the country as a clear violation of the Immigration Act of 1995, which prohibits any person declared a prohibited immigrant from being granted a permit to enter Tanzania.

Noting that the law also states that ’’entry to Tanzania by a foreigner is only possible either by the non-citizen holding a residence permit or visitor’s pass,’’ the legal experts said they were quite baffled as to how Chavda was able to return to the country despite being officially deported.

When contacted in Dar es Salaam, Immigration Services authorities could also not immediately explain the cloud of mystery surrounding Chavda’s current immigration status.

A spokesman for the department, Abdi Ijimbo, requested more time to come up with a comprehensive statement when asked by THISDAY to comment on the matter.

Source: ThisDay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The devil is on the details!

Hoja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu ni kuwa kesi hii haina muda maalumu wa kumalizika na hivyo inawezekana kabisa malipo ya wanasheria yakazidi kiasi cha fedha inachodaiwa Benki Kuu.

Lakini hoja nyingine ya kimsingi ni kama malipo haya kwa mawakili yanaruhusiwa chini ya Kanuni za Malipo ya Mawakili na Uamuzi ya Gharama za Kesi za mwaka 1991, Tangazo la Serikali Na. 515 la mwaka 1991 (Advocates Remuneration and Taxation of Costs Rules, 1991). Kanuni hizi zimeweka kiwango cha malipo ya mawakili katika kesi ambazo fedha inayodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni 10 kuwa ni asilimia tatu. Kwa kufuata masharti ya sheria hii ya malipo ya mawakili, kampuni ya Mkono & Co. Advocates ilipaswa kulipwa Shilingi bilioni 1.8.

"Kampuni ya mawakili ya Mkono & Co. Advocates imekuwa ikitajwa kuhusiana na kashfa kubwa za ufujaji na/au ubadhirifu wa fedha za umma kwa muda mrefu. Kwa mfano, Taarifa ya Uchunguzi Kuhusu Tuhuma Dhidi ya Makampuni ya Tanfarms Ltd., Makinyumbi Estates Ltd., Centrepoint Investments Ltd., na Arusha Farms Ltd. Yanayomilikiwa na V.G. Chavda Kuhusiana na Matumizi Mabaya ya Fedha za Debt Conversion Programme iliyotolewa Bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi, Mheshimiwa Edward Oyombe Ayila mwezi Novemba 1994 ilisema yafuatayo kuhusu Mheshimiwa Nimrod Mkono: Mhe. Spika si nia yangu kulichosha Bunge lako tukufu na hotuba ndefu lakini ni vizuri nikaelezea juu ya uhusiano unaotia mashaka kati ya V.G. Chavda na Mashamba yake na Subash Patel mwenye makampuni ya DECO ART, MM Motors, MM Garage, Hotel Sea Cliff, City Bureau De Change na Nimrod Mkono, Wakili wa kujitegemea ambaye pia ni Mkurugenzi katika makampuni ya AZANIA AGRICULTURAL ENTERPRISES, LIBERTY LEATHER SHOE LTD., AZANIA EXIMCO, n.k. (AIMS GROUP OF COMPANIES)"

"Baada ya kuelezea uhusiano huo ulivyokuwa Mheshimiwa Ayila alimalizia kwa kusema yafuatayo: Mheshimiwa Spika, ni vigumu kabisa katika hali ya kawaida kwa mtu yeyote kuamini kwamba makubaliano haya na uhusiano uliojitokeza hapa haukuwa wa hila."


"Chavda kwa kupitia wakili wake Nimrod Mkono, aliomba Mahakama Kuu kuzuia kabisa shughuli za Kamati (permanent injunction). Aidha ni wakili huyo huyo ambaye ameshuhudia uuzaji wa deni la Deco Art (reassignment) kwa Chavda. Mheshimiwa Spika, hali hii ukiitazama kwa undani utaona kwamba pengine kuna kitu kinafichwa."
 
Back
Top Bottom