gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
- Thread starter
- #21
iliwahi kunitokea hii...posta mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeee.....enzi hizo nilitapeliwa siemens 32(sijui jina nalikumbuka sawa sawa) na sh 5000...... baada ya zoezi la kutapeliwa ndo nikagundua kuwa nishaibiwa hivyooooo...........
hii iliwahi kunitokea....nilimpoteza kwenye ajali ya gari....ilinichukua muda kurecover....nashukuru kwa sala na maombi nilifanikiwa......sasa nimemove on nikapata mwenza mpya, ananipenda kwa dhati na tuna watoto kadhaa sasa....
pancha yess... hayo mengine noooo mbadoooo yanipite mbali.....
hahahahaha hii ilishatokeaga mkuu. sidhani kama kuna ambaye haikumtokea hii mmmmh!!!!
Badili Tabia,asante kwa ushirikiano wako.... Pole kwa yaliyokukuta... Na Mungu apishie mbali yasikutokee tena..