PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,783
Mchina ni noma jamani!
Kuanzia Balozi wao hadi Makampuni yao ya ujenzi ni majanga!
Hapa ni kibao cha Ujenzi kilichowekwa eneo la Majengo Chini Arusha, ambapo kuna ujenzi wa barabara inayounganisha barabara ya Dodoma na ile ya Nairobi. Kampuni inayohusika inaitwa CRSG (China Railway Seventh Group)
Kuanzia Balozi wao hadi Makampuni yao ya ujenzi ni majanga!
Hapa ni kibao cha Ujenzi kilichowekwa eneo la Majengo Chini Arusha, ambapo kuna ujenzi wa barabara inayounganisha barabara ya Dodoma na ile ya Nairobi. Kampuni inayohusika inaitwa CRSG (China Railway Seventh Group)