tehe tehe.....job true true:car:
Kingereza majanga na makelele, mradi wajenge kwa kiwangi stahiki. Wasije kufanya kama ile ya Kilwa.
haya ni matatizo ya tanroad mkuu!
wakuu mnanishangaza! Eti tunawashutumu wachina? Tatizo ni sisi wa-tz na maafisa wetu. Kwani hawalioni hilo tangazo? Ila sishangai sana kama meneja wa uwanja wa ndege kigoma aliweza kukaa na lile tangazo, itakuwa hawa? Twendeni tu, tutafika tu! Wilayani kwetu nako tulikuwa tumeandika "accountant officer" nikawa nimelewa kabisa, sijui ni mimi tu?
haaa accountant officer??
Kweli huu ugojwa mkubwa sana.
Hiki KIZUNGU ni mgogoro kwa wengi kumbe!! Nilidhani ni kwetu tuu akina Kayumba....🙂
Angeendelea kidogo angesema THE BACK IS NOT WORKING!
Nadhani kilichobaki kweli kabisa ni kuangalia kiwango cha barabara tu, tuachane kbsa na lugha.
Majanja kaka!
Nadhani baada ya Mathematics kinachofuata kuwa HOMA YA DUNIA ni Kiingereza.
BIG RESULTS NOW ina kibarua kikubwa.
hahahahaaaaaaaaaaa,duuuuuuu mbavu zangu mieeeetehe tehe.....job true true:car:
hii ndio funga kazi kabisa!