Bangi ihalalishwe

Bangi ihalalishwe

kumbe tumeacha kujadili bangi tunajadili unga? kama haujui tofauti ya bangi na unga basi tuishie hapa mpaka utapojifunza!

hahahahaha...!tatizo lako hujui maana ya "TEJA"
Teja sio lazma awe wa unga, uteja ni ile hali ya kuwa mtumiaji/mfuasi wa kitu flani kiasi kwamba umeshindwa/unashindwa kuacha,
ndio maana kuna mateja tofauti, kuna teja wa mapenzi(hata JD aliimba)
teja wa bangi, unga, pombe, sigara n.k

kiswahili kipana sana!
 
hahahahaha...!tatizo lako hujui maana ya "TEJA"
Teja sio lazma awe wa unga,
uteja ni ile hali ya kuwa mtumiaji/mfuasi wa kitu flani kiasi kwamba umeshindwa/unashindwa kuacha,
ndio maana kuna mateja tofauti,
kuna teja wa mapenzi(hata JD aliimba)
teja wa bangi,unga,pombe,sigara n.k
kiswahili kipana sana!

Hahahaa, kiswahili kweli kinakua, basi mimi nilijua teja ni mla unga tu, hasa baada ya wewe kutoa mifano ya wabwia unga! Sasa nimekusoma mkuu wangu, mtu anaweza kuwa teja wa kanisa, teja wa kuswali, teja wa madem kama wewe n.k!
One Love!
 
mtoa mada umesahau kuomba serikali iongeze mawodi ya vichaa sambamba na kuruhusu bangi
 
Hahahaa, kiswahili kweli kinakua, basi mimi nilijua teja ni mla unga tu, hasa baada ya wewe kutoa mifano ya wabwia unga! Sasa nimekusoma mkuu wangu, mtu anaweza kuwa teja wa kanisa, teja wa kuswali, teja wa madem kama wewe n.k!
One Love!

whatever
 
bange kama inakupenda we endelea nayo tu and vice versa is true sasa unakuta kichwa panzi alijaribu ku-smoke ikamshinda akawa anarembua wanaume wakampakata sasa ana-dis.
 
bange kama inakupenda we endelea nayo tu and vice versa is true sasa unakuta kichwa panzi alijaribu ku-smoke ikamshinda akawa anarembua wanaume wakampakata sasa ana-dis.

True that mkuu
 
Wavuta bangi tuwe wakweli, bangi inalewesha na ukiitumia kwa muda mrefu unaharibu akili na nimeishashuhudia machizi wengi kwa kuvuta kwao bangi,mvuta bangi hadi macho yanabadilika na kuwa mekundu si kitu ya kawaida,we kama unaendelea kuvuta utakuwa umeisha dhurika ndio maana unamawazo ya hivi.wengi wanapoanza kuvuta wanaanza kuwakosea adabu wazazi na walimu,wanakuwa jeuri mno.pia wavuta sembe wengi wanatokea kwenye bangi.haifai kabisa mtaliongezea taifa janga lingine, si kila alichoumba mungu ni halali mbona sembe kaumba mungu lakini haifai na kuna majani mengi tu ambayo ni sumu kabisa ukivuta tu unakufa,kama unatakufa nitafute ,kwa nini yasipigwe marufuku kwa kuwa vijana wengi bado hawajajua madhara yake?
 
Mi naomba kuuliza kwanini mvuta bangi anakuwa na macho mekundu pindi akilipuliza...hasa kitu kikali kama cha Uyui-tabora
 
Dah! Ngoja na mimi ni "nyonge" akili yangu manake nauamini "mkono" wangu zaid kwenye kutoa comment!

kupata facts ya bange kuharamishwa google tu utaelewa mbinu za CIA na babylon walipoona wanapoteza mapato hasa wale wakulima wakubwa wa mashamba ya tumbaku. Na ilianza kupigwa marufuku USA then wakaiweka kwenye propaganda na oganizesheni kama WHO na FAO zikaisambaza dunia nzima. Hakukuwa na strong reason wala evidence za kujustify kuwa bange ina madhara! Hadi leo hakuna huo utafiti wa kisayansi wa kuonesha madhara ya majani hayo. Ila sasa hivi kuna wanaharakati na wataalam wa afya wanaipigia chapuo irudi kwenye matumizi ya kawaida ya binadamu! Ila tatizo dhamira yao inawasuta kwa kufikiri nguvu kubwa waliyoitumia kuipiga vita ili hali wakijua haina madhara!

Moja kati ya majaribio yaliyofanywa na 'wanasayansi' wa Marekani ili kudhirisha kuwa bangi inaua seli za ubongo wa mvutaji ilikuwa ni kuwapumulisha manyani moshi wa bangi kupitia kwenye 'gas masks' matokeo wale manyani walionyesha kufa kwa seli za ubongo jambo ambalo lilisababishwa na kukosa hewa ya oksijeni kwani njia iliyotumika 'kuwavutisha' bangi ndiyo iliyoleta madhara na siyo bangi yenyewe.

In the name of science jamaa walitangaza ya kuwa bangi inaua brain cells!
 
Wavuta bangi tuwe wakweli, bangi inalewesha na ukiitumia kwa muda mrefu unaharibu akili na nimeishashuhudia machizi wengi kwa kuvuta kwao bangi,mvuta bangi hadi macho yanabadilika na kuwa mekundu si kitu ya kawaida,we kama unaendelea kuvuta utakuwa umeisha dhurika ndio maana unamawazo ya hivi.wengi wanapoanza kuvuta wanaanza kuwakosea adabu wazazi na walimu,wanakuwa jeuri mno.pia wavuta sembe wengi wanatokea kwenye bangi.haifai kabisa mtaliongezea taifa janga lingine, si kila alichoumba mungu ni halali mbona sembe kaumba mungu lakini haifai na kuna majani mengi tu ambayo ni sumu kabisa ukivuta tu unakufa,kama unatakufa nitafute ,kwa nini yasipigwe marufuku kwa kuwa vijana wengi bado hawajajua madhara yake?

Moshi wa majani yoyote unaweza kufanya macho yawe mekundu, watu wanaovutia sehem ambazo hazina ventilation ya kutosha ni rahisi zaidi kuwa na macho mekundu. Ukaidi ni tabia ya mtu, mtu mkaidi akivuta bangi si bangi ndiyo inamletea ukaidi bali ni tabia, ni sawa na mtu asiye na heshima akinywa pombe anatukana ovyo! Bangi ina faida nyingi kuliko hasara!
 
Moshi wa majani yoyote unaweza kufanya macho yawe mekundu, watu wanaovutia sehem ambazo hazina ventilation ya kutosha ni rahisi zaidi kuwa na macho mekundu. Ukaidi ni tabia ya mtu, mtu mkaidi akivuta bangi si bangi ndiyo inamletea ukaidi bali ni tabia, ni sawa na mtu asiye na heshima akinywa pombe anatukana ovyo! Bangi ina faida nyingi kuliko hasara!

well said
 
Mi naomba kuuliza kwanini mvuta bangi anakuwa na macho mekundu pindi akilipuliza...hasa kitu kikali kama cha Uyui-tabora

inategemea na afya ya mtu mwingine akivuta macho yanakua meupe zaidi alafu kabla au baada ya kuvuta unatakiwa ule msosi wa maana sio unakula mihogo na maharage then bange alafu unatembea juani lazima utazogoa kumbuka starehe gharama.
 
fanatical law
enforcement sijui sabab ya kuiharamisha gomba had leo

kwenye GOMBA mkuu umegusa kunako cuz mie binafsi nilikua mdau kwa muda mrefu bila kuona tatizo lolote japo sasa ni kama miezi 3 imepita tangu niamue kwa hiari yangu mwenyewe kupumzika.
 
me naongea kutokana na uzoefu na vuta at will na weza postpone ntakavyo hyo addiction umesema wew na mambo ya vitabuni hayo

mood zikiwa evil umeshasema mtu ni evil leave our gomba alone huyo alikuwa evil b4 na ataendelea kuwa evil after

madhara ya bangi ni zaid ya kumbukumbuku yataje hayo madhara?

Note: umepewa akili tumia sio kukubali kila unachosikia na kuambiwa fanya utafiti kwanza

Kama sio addictive kwako ni addictive kwa wenzako, tatizo lenu sasa ninyi ni kizazi cha wavuta bangi na ndio maana mnaitetea kwa nguvu zote. Kama unaweza kupostpone, then postpone milele..................
 
Mkuu, kuna kitu kinachoongeza uhalifu zaidi ya Ukosefu wa Elimu, siasa fasi, utawala bora na ongezeko la umaskini?
Hayo madhara zaidi ungetufafanulia tuelewe, maana madaktari wabobezi wanatuambia the stuff is good na ni dawa ya mambo mengi, tena sigara ni hatari kuliko bangi sasa wewe unayesema otherwise ungekuja na scientific proof. Bangi is never adictive bro, mimi huwa navuta mara chache sana, na nikiamua kutovuta wala sina tatizo. Mkuu binafsi nimewahi kusmoke na high profile figures ambao huwezi kuamini, the weed is just great, nakushauri na wewe uonje kidogo, kama harufu inakusumbua jaribu kuchukua chungwa ulikate, kisha chukua kicontainer kisichopitisha hewa weka majani upande mmoja na vipande vya chungwa upande wa pili kisha funika overnight, kesho yake utasmoke kitu chenye radha murua na harufu ya chungwa, soooo nice!:tongue:

Kila mtu ana chaguzi zake maishani, na mimi nimechagua KUTOKUVUTA bangi - so try not convice me
 
hiii kitu mm sizani kama inakatazwa kivile coz kuanzia viongozi wooote kalibia washawahi piga hii kitu asilimia 90 ya wabunge bungeni washapuliza hii kitu huko kwa hawa watu wa usalama ndio usisema nia aibu tupu vyombo vyetu vyooote vya usalama vinapuliza hii kitu iwe ni jeshi,jkt au jwtz ,magereza ,polisi sijui usalama wa taifa ni bange kwa kwenda mbele.
mpaka baadhi ya viongozi wa dini wanapiga hii kitu bana sasa sijui inakuwaje hapa.
mm hii kitu huwaga naipenda sana coz nilishawahi vuta wakati nasoma shule ila mzee wangu alikuwa ni hakim lakini home tulipanda na hata mashambani kwetu tulipanda nakumbuka wakati mama yangu anajifungua mdogo wangu kiungo kikubwa cha mboga ya majani ilikuwa ni mbegu za bangi ni noma sana wakuu zinaongeza sana maziwa kwa wanawake wanao nyonyesha mboga ikiungwa mbegu za bange hata sijui nazi na karanga hazifui dafu.

hiii kitu inabidi serikali itazame vizuri hata mm naunga mkono hoja ni bora vijana wavute bangi na sio kuvuta unga.hata hao wataalam kama watatuwekea madhara ya bangi sijui kama yatafikia yale ya sembe na sigara.

bila kusahau bangi ni dawa nzuri sana ya sikio
 
Kila mtu ana chaguzi zake maishani, na mimi nimechagua KUTOKUVUTA bangi - so try not convice me

Umeona eeh!....hakuna sehem nimekuconvince mkuu, badala yake wewe ndiyo unatumia nguvu nyingi kujaribu kutuconvince kuwa bangi ina madhara alhali madaktari wabobezi wanasema ina faida!!!
 
Back
Top Bottom