donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
Hivi bange ni lazima ivutwe tu ama yaweza kuliwa kama mboga? Nauliza tu maana nimeanza kushawishika ila kuvuta kunaweza kuwa kikwazo
Kuna weedcakes zinauzwa sh.buku kwa moja, nitamu kama keki zingine.