Bangi ihalalishwe

Bangi ihalalishwe

hiii kitu mm sizani kama inakatazwa kivile coz kuanzia viongozi wooote kalibia washawahi piga hii kitu asilimia 90 ya wabunge bungeni washapuliza hii kitu huko kwa hawa watu wa usalama ndio usisema nia aibu tupu vyombo vyetu vyooote vya usalama vinapuliza hii kitu iwe ni jeshi,jkt au jwtz ,magereza ,polisi sijui usalama wa taifa ni bange kwa kwenda mbele.
mpaka baadhi ya viongozi wa dini wanapiga hii kitu bana sasa sijui inakuwaje hapa.
mm hii kitu huwaga naipenda sana coz nilishawahi vuta wakati nasoma shule ila mzee wangu alikuwa ni hakim lakini home tulipanda na hata mashambani kwetu tulipanda nakumbuka wakati mama yangu anajifungua mdogo wangu kiungo kikubwa cha mboga ya majani ilikuwa ni mbegu za bangi ni noma sana wakuu zinaongeza sana maziwa kwa wanawake wanao nyonyesha mboga ikiungwa mbegu za bange hata sijui nazi na karanga hazifui dafu.

hiii kitu inabidi serikali itazame vizuri hata mm naunga mkono hoja ni bora vijana wavute bangi na sio kuvuta unga.hata hao wataalam kama watatuwekea madhara ya bangi sijui kama yatafikia yale ya sembe na sigara.

bila kusahau bangi ni dawa nzuri sana ya sikio

Ilishawahi kuokoa mtu wangu wa karibu kabisa!
 
Kama sio addictive kwako ni addictive kwa wenzako, tatizo lenu sasa ninyi ni kizazi cha wavuta bangi na ndio maana mnaitetea kwa nguvu zote. Kama unaweza kupostpone, then postpone milele..................
Na nyie kizazi cha wazinzi unawashauri nini wenzio?
 
Umeona eeh!....hakuna sehem nimekuconvince mkuu, badala yake wewe ndiyo unatumia nguvu nyingi kujaribu kutuconvince kuwa bangi ina madhara alhali madaktari wabobezi wanasema ina faida!!!

Kaka wewe nenda pale central police, pale nje, tena mbali tu na lango kuu. Kisha washa msokoto wako, puliza moshi wako kwa amani. Hao madaktari wabobezi mbona nao wanaivuta kwa uficho?????
 
AP_denver_celebrating_Legalizing_Marijuana_thg_130830_16x9_992.jpg


It's legal to light up in Colorado and Washington, and soon smoking pot could be legalized across the country following a decision Thursday by the federal government.
After Washington state and Colorado passed laws in November 2012 legalizing the consumption and sale of marijuana for adults over 18, lawmakers in both states waited to see whether the federal government would continue to prosecute pot crimes under federal statutes in their states.


Both Colorado and Washington have been working to set up regulatory systems in order to license and tax marijuana growers and retail sellers, but have been wary of whether federal prosecutors would come after them for doing so. They are the first states to legalize pot, and therefore to go through the process of trying to set up a regulatory system.
Consumption and sale of marijuana is still illegal in all other states, though some cities and towns have passed local laws decriminalizing it or making it a low priority for law enforcement officers. There are also movements in many states to legalize pot, including legalization bills introduced in Maine and Rhode Island, discussion of possible bills in states including Massachusetts and Vermont, and talk of ballot initiatives in California and Oregon.


But on Thursday, the Department of Justice announced that it would not prosecute marijuana crimes that were legal under state law, a move that could signal the end of the country's longtime prohibition on pot is nearing. "It certainly appears to be potentially the beginning of the end," said Paul Armantano, deputy director of the pot lobby group NORML.
The memo sent to states Thursday by the DOJ said that as long as states set up comprehensive regulations governing marijuana, there would be no need for the federal government to step in, a decision that will save the Justice Department from having to use its limited resources on prosecuting individuals for growing or smoking marijuana.


"This memo appears to be sending the message to states regarding marijuana prohibition that is a recognition that a majority of the public and in some states majority of lawmakers no longer want to continue down the road of illegal cannabis, and would rather experiment with different regulatory schemes of license and retail sale of cannabis," Armantano said.
Richard Collins, a law professor at the University of Colorado Boulder, said that the memo from the DOJ points out specifically that the federal government will only walk away from marijuana crimes in states where there is a solid regulatory system for the drug's growth and disemenation.


For other states to mimic the systems in Colorado and Washington, they will first have to get legalization laws on their ballots or in their state houses, which could post a challenge, he said.
While Colorado and Washington have not yet set up their regulatory systems, both states will likely sell licenses to farmers who want to grow marijuana as well as to manufacturing plants and retail sellers. The marijuana will also likely be taxed at each stage of its growth, processing, and sale.


"In both Colorado and Washington, legalization was done by citizens with no participation by elected representatives until they had to pass laws to comply with the initiative. In other initiative states I would expect such measures - I would expect a new one in California, for instance - and roughly half the states permit this and the rest don't.
"In the states that do have initiatives I expect efforts to get it on the ballot. The other half it will be much tougher. It's hard to get elected representatives to do this," Collins said.


Armantano is more optimistic about the spread of legalized pot. He compared the DOJ's announcement to the federal government's actions toward the end of alcohol prohibition in America a century ago, when states decided to stop following the federal ban on alcohol sales and the federal government said it would not step in and prosecute crimes.
"For first time we now have clear message from fed government saying they will not stand in way of states that wish to implement alternative regulatory schemes in lieu of federal prohibition," Armantano said.


He predicted that within the next one to three years, five or six other states may join Colorado and Washington in legalizing the drug, setting the stage for the rest of the country to follow.
Jim Pasco, executive director of the Fraternal Order of Police, the nation's largest police union, was disappointed with the Justice Department's decision, but said that he had already reached out to set up meetings to talk with leadership in the department and he was "open to discussion" about the benefits.


"I would tell you that certainly the overwhelming majority of law enforcement officers oppose legalization," he said, "but that is not to say that we're not willing to have a conversation about it. It is, from our perspective, a gateway drug and opinions to the contrary don't have the weight of fact behind them.
"We want to talk to (the DOJ) about their thought process and ours and where the disconnect is," he said. "From our perspective the only fault with the status quo is that we aren't making a bigger dent and we'd like to make a bigger one."
 
Na nyie kizazi cha wazinzi unawashauri nini wenzio?
Nimekuiteni kizazi cha wavuta bangi kwa sababu mnaisifia na kuiabudu, wewe unaponiita kizazi cha wazinzi umeona wapi nimesifia uzinzi? HAYO SASA NDIO MADHARA YA BANGI - na kama ungekuwa na silaha ungeweza hata kunitoa roho....ndio maana we insist isiruhusiwe
 
Wavuta bangi tuwe wakweli, bangi inalewesha na ukiitumia kwa muda mrefu unaharibu akili na nimeishashuhudia machizi wengi kwa kuvuta kwao bangi,mvuta bangi hadi macho yanabadilika na kuwa mekundu si kitu ya kawaida,we kama unaendelea kuvuta utakuwa umeisha dhurika ndio maana unamawazo ya hivi.wengi wanapoanza kuvuta wanaanza kuwakosea adabu wazazi na walimu,wanakuwa jeuri mno.pia wavuta sembe wengi wanatokea kwenye bangi.haifai kabisa mtaliongezea taifa janga lingine, si kila alichoumba mungu ni halali mbona sembe kaumba mungu lakini haifai na kuna majani mengi tu ambayo ni sumu kabisa ukivuta tu unakufa,kama unatakufa nitafute ,kwa nini yasipigwe marufuku kwa kuwa vijana wengi bado hawajajua madhara yake?

hapo cha ukweli kimoja tu macho kuwa mekundu
 
Kaka wewe nenda pale central police, pale nje, tena mbali tu na lango kuu. Kisha washa msokoto wako, puliza moshi wako kwa amani. Hao madaktari wabobezi mbona nao wanaivuta kwa uficho?????

Kaka wewe chukuana na malaya mmoja wala msiende central kote mbali huko, hapo jirani kwenu si kuna kituo cha polisi, mkifika hapo nje msaule nguo muanze kufanya yenu, si ni haki yenu?:love:

Hila za wababylon haziwezi kuzima moto wa majani!
One Love!
 
Kaka wewe chukuana na malaya mmoja wala msiende central kote mbali huko, hapo jirani kwenu si kuna kituo cha polisi, mkifika hapo nje msaule nguo muanze kufanya yenu, si ni haki yenu?:love:
Hila za wababylon haziwezi kuzima moto wa majani!
One Love!

mbona unalazimisha umalaya? Au bangi zako zinakutuma ufakamie ngono pia?
 
Nimekuiteni kizazi cha wavuta babngi kwa sababu mnaisifia na kuiabudu, wewe unaponiita kizazi cha wazinzi umeona wapi nimesifia uzinzi? HAYO SASA NDIO MADHARA YA BANGI - na kama ungekuwa na silaha ungeweza hata kunitoa roho....ndio maana we insist isiruhusiwe

Sisi watu wa amani mkuu, jani likipanda mtu anakuwa contented vibaya mno, tofauti kabisa na vilevi. Sassa kwa vile nyie mmeaminishwa na wababeli kuwa bangi inachanganya akili basi mnadhani kila mtu anakuwa namna hiyo!

Najaribu tu kukuelewesha Mkuu, nothing personal!
 
mkuu ndalo
thanks
tunafahamu baadhi ya state in US na baadhi ya nchi kma jamaica, italy (kwa rasta only)
wamelegalize tayari au kuwapa permission baadhi ya watu individually
concern yetu ipo TZ
tunataka waihalalishe TZ
police waache kufanya kitega uchumi
tuvute freely home, or anywhere bila police intervention

ffffffffffff police
 
na kwenye unga mi simo labda ganja kidogo zamani nilikuwemo ndo maana mpaka leo inanipa misimamo sugu moto chini hahaaaaaa ni moto chini
 
Kila mtu ana chaguzi zake maishani, na mimi nimechagua KUTOKUVUTA bangi - so try not convice me

who is trying to convice u
we tryna convice and push the law makers
to legalize our holy herb
take a chill pill whether u smoke or not its your bussiness
 
Sisi watu wa amani mkuu, jani likipanda mtu anakuwa contented vibaya mno, tofauti kabisa na vilevi. Sassa kwa vile nyie mmeaminishwa na wababeli kuwa bangi inachanganya akili basi mnadhani kila mtu anakuwa namna hiyo!
Najaribu tu kukuelewesha Mkuu, nothing personal!

Tatizo wengi wenu hamtumii lugha za staha na hamna uvumilivu katika majadiliano, na tena ni baada ya kula majani - yana maana tena?
 
mkuu ndalo
thanks
tunafahamu baadhi ya state in US na baadhi ya nchi kma jamaica, italy (kwa rasta only)
wamelegalize tayari au kuwapa permission baadhi ya watu individually
concern yetu ipo TZ
tunataka waihalalishe TZ
police waache kufanya kitega uchumi
tuvute freely home, or anywhere bila police intervention

ffffffffffff police

mh ally kesi mohamed kuna siku mbungeni alitaka jani lihalalishe itakuwa vema mkimcheki muombeni apeleke hoja binafsi afu yeye sianatoka ule upande wa ndioo tena muda huu hoja za kutongozea kura hasa za vijana ndo zinapewa kipaumbele
 
AP_denver_celebrating_Legalizing_Marijuana_thg_130830_16x9_992.jpg


It's legal to light up in Colorado and Washington, and soon smoking pot could be legalized across the country following a decision Thursday by the federal government.
After Washington state and Colorado passed laws in November 2012 legalizing the consumption and sale of marijuana for adults over 18, lawmakers in both states waited to see whether the federal government would continue to prosecute pot crimes under federal statutes in their states.


Both Colorado and Washington have been working to set up regulatory systems in order to license and tax marijuana growers and retail sellers, but have been wary of whether federal prosecutors would come after them for doing so. They are the first states to legalize pot, and therefore to go through the process of trying to set up a regulatory system.
Consumption and sale of marijuana is still illegal in all other states, though some cities and towns have passed local laws decriminalizing it or making it a low priority for law enforcement officers. There are also movements in many states to legalize pot, including legalization bills introduced in Maine and Rhode Island, discussion of possible bills in states including Massachusetts and Vermont, and talk of ballot initiatives in California and Oregon.


But on Thursday, the Department of Justice announced that it would not prosecute marijuana crimes that were legal under state law, a move that could signal the end of the country's longtime prohibition on pot is nearing. "It certainly appears to be potentially the beginning of the end," said Paul Armantano, deputy director of the pot lobby group NORML.
The memo sent to states Thursday by the DOJ said that as long as states set up comprehensive regulations governing marijuana, there would be no need for the federal government to step in, a decision that will save the Justice Department from having to use its limited resources on prosecuting individuals for growing or smoking marijuana.


"This memo appears to be sending the message to states regarding marijuana prohibition that is a recognition that a majority of the public and in some states majority of lawmakers no longer want to continue down the road of illegal cannabis, and would rather experiment with different regulatory schemes of license and retail sale of cannabis," Armantano said.
Richard Collins, a law professor at the University of Colorado Boulder, said that the memo from the DOJ points out specifically that the federal government will only walk away from marijuana crimes in states where there is a solid regulatory system for the drug's growth and disemenation.


For other states to mimic the systems in Colorado and Washington, they will first have to get legalization laws on their ballots or in their state houses, which could post a challenge, he said.
While Colorado and Washington have not yet set up their regulatory systems, both states will likely sell licenses to farmers who want to grow marijuana as well as to manufacturing plants and retail sellers. The marijuana will also likely be taxed at each stage of its growth, processing, and sale.


"In both Colorado and Washington, legalization was done by citizens with no participation by elected representatives until they had to pass laws to comply with the initiative. In other initiative states I would expect such measures - I would expect a new one in California, for instance - and roughly half the states permit this and the rest don't.
"In the states that do have initiatives I expect efforts to get it on the ballot. The other half it will be much tougher. It's hard to get elected representatives to do this," Collins said.


Armantano is more optimistic about the spread of legalized pot. He compared the DOJ's announcement to the federal government's actions toward the end of alcohol prohibition in America a century ago, when states decided to stop following the federal ban on alcohol sales and the federal government said it would not step in and prosecute crimes.
"For first time we now have clear message from fed government saying they will not stand in way of states that wish to implement alternative regulatory schemes in lieu of federal prohibition," Armantano said.


He predicted that within the next one to three years, five or six other states may join Colorado and Washington in legalizing the drug, setting the stage for the rest of the country to follow.
Jim Pasco, executive director of the Fraternal Order of Police, the nation's largest police union, was disappointed with the Justice Department's decision, but said that he had already reached out to set up meetings to talk with leadership in the department and he was "open to discussion" about the benefits.


"I would tell you that certainly the overwhelming majority of law enforcement officers oppose legalization," he said, "but that is not to say that we're not willing to have a conversation about it. It is, from our perspective, a gateway drug and opinions to the contrary don't have the weight of fact behind them.
"We want to talk to (the DOJ) about their thought process and ours and where the disconnect is," he said. "From our perspective the only fault with the status quo is that we aren't making a bigger dent and we'd like to make a bigger one."

Tanzania inatakiwa ione fursa katika hilo, wakulima wangefaidika sana, organic bangi ingeuzika sana huku!
 
Dah! Ngoja na mimi ni "nyonge" akili yangu manake nauamini "mkono" wangu zaid kwenye kutoa comment!

kupata facts ya bange kuharamishwa google tu utaelewa mbinu za CIA na babylon walipoona wanapoteza mapato hasa wale wakulima wakubwa wa mashamba ya tumbaku. Na ilianza kupigwa marufuku USA then wakaiweka kwenye propaganda na oganizesheni kama WHO na FAO zikaisambaza dunia nzima. Hakukuwa na strong reason wala evidence za kujustify kuwa bange ina madhara! Hadi leo hakuna huo utafiti wa kisayansi wa kuonesha madhara ya majani hayo. Ila sasa hivi kuna wanaharakati na wataalam wa afya wanaipigia chapuo irudi kwenye matumizi ya kawaida ya binadamu! Ila tatizo dhamira yao inawasuta kwa kufikiri nguvu kubwa waliyoitumia kuipiga vita ili hali wakijua haina madhara!

well big up
 
Tatizo wengi wenu hamtumii lugha za staha na hamna uvumilivu katika majadiliano, na tena ni baada ya kula majani - yana maana tena?

Haahahaa, hizo ni tabia za wahuni tu mkuu, mtu mhuni hata akinywa chai tu anaweza kukosa staha!
 
mh ally kesi mohamed kuna siku mbungeni alitaka jani lihalalishe itakuwa vema mkimcheki muombeni apeleke hoja binafsi afu yeye sianatoka ule upande wa ndioo tena muda huu hoja za kutongozea kura hasa za vijana ndo zinapewa kipaumbele

well see to it
 
Back
Top Bottom