Bangi ihalalishwe

Bangi ihalalishwe

1. Ulichoandika namba moja ni uongo mkubwa - bangi is very addictive (hebu acha kuvuta siku moja utajua)
2. Hizo moods hata zikiwa evil ones - bangi inaziongeza na hivyo huongeza uhalifu katika jamii
3. hii ya kumbukumbu umetunga wewe - madhara ya bangi ni zaidi ya kumbukumbu

mwisho, nakushauri uende kwa daktari, kama una sababu ya muhimu kutumia bangi atakuandikia na utavuta ukiwa sehemu maalum sio katika public

me naongea kutokana na uzoefu na vuta at will na weza postpone ntakavyo hyo addiction umesema wew na mambo ya vitabuni hayo

mood zikiwa evil umeshasema mtu ni evil leave our gomba alone huyo alikuwa evil b4 na ataendelea kuwa evil after

madhara ya bangi ni zaid ya kumbukumbuku yataje hayo madhara?

Note: umepewa akili tumia sio kukubali kila unachosikia na kuambiwa fanya utafiti kwanza
 
Kubishana na ganja smokers hakuna mwisho. Ushauri ww unae ona bangi ni nzuri na ina manufaa kwa maisha yako anza kuielimisha familia yako pamoja na watoto wako mvute bangi weee na muendeleze kizazi chenu cha wavuta bangi. Tunaopinga bangi tuendelee kuipinga kwa nguvu zote hasa kwa watoto na wadogo zetu walio chini ya uangalizi wetu.

baelezee wakuelewe
 
ushawahi kujiuliza kwanini wavuta bangi wanapenda kuchora picha ya meli kubwa ukutani,kwenye madaraja,mifereji n.k???
Je,umepata jibu gani?
Pia kwanini wanasema bange inanoga kuvuta sehemu za wazi kama vile viwanja vya mpira,vijiweni na sio ghetto?au ukiwa peke yako?
Ukijibu hayo kwa ufasaha utaelewa athari na madhara ya bange

Je unajua kwamba Bob Marley alikuwa mtumiaji mkubwa wa bange?Nchi ya Jamaica ina watumiaji wengi zaidi wa bange na ni nchi ya amani sana?Je unajua wanaume wanaoonekana 'wanaume'kwa utulivu na kutokuwa na hofu wengi huvuta bangi?je unajua kuwa bangi hukufanya uwe na nguvu nyingi na kukusaidia kupunguza kile mnachoita nyama uzembe hata kama unakula debe la chips kila siku?je unajua ukivuta bangi unaweza kuishi muda mrefu zaidi kuliko mtu asiyetumia kilevi chochote?(Unamkumbuka bi kidude?),je utaamini hata baba wa taifa alikuwa member kwenye hii kitu?je unajua hata Mandela amevuta hii kitu?je unajua baadhi ya maaskari polisi,jwtz na madaktari wanaovuta bangi wanapendwa zaidi kuliko wasiovuta bangi?(Nina mifano ya majina ya watu hao na kuna dr mmoja anajenga ghorofa kubwa kwa jinsi anavyopata sapoti kwa wateja anaowatibu)Ah!unahitajika utafiti kuhusu hii kitu mkuu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
daah utagoogle bana, ts like harmful sytems approved by unfair governments, kaitafute mwenyewe utaielewa vizuri
 
Mambo iko huku...


Hata ishu ya Mashoga ilianza hivi hivi kiutani.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Je unajua kwamba Bob Marley alikuwa mtumiaji mkubwa wa bange?Nchi ya Jamaica ina watumiaji wengi zaidi wa bange na ni nchi ya amani sana?Je unajua wanaume wanaoonekana 'wanaume'kwa utulivu na kutokuwa na hofu wengi huvuta bangi?je unajua kuwa bangi hukufanya uwe na nguvu nyingi na kukusaidia kupunguza kile mnachoita nyama uzembe hata kama unakula debe la chips kila siku?je unajua ukivuta bangi unaweza kuishi muda mrefu zaidi kuliko mtu asiyetumia kilevi chochote?(Unamkumbuka bi kidude?),je utaamini hata baba wa taifa alikuwa member kwenye hii kitu?je unajua hata Mandela amevuta hii kitu?je unajua baadhi ya maaskari polisi,jwtz na madaktari wanaovuta bangi wanapendwa zaidi kuliko wasiovuta bangi?(Nina mifano ya majina ya watu hao na kuna dr mmoja anajenga ghorofa kubwa kwa jinsi anavyopata sapoti kwa wateja anaowatibu)Ah!unahitajika utafiti kuhusu hii kitu mkuu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

asantee
 
ukisha puliza hii kitu unakuwa kwnye high level of concentration kuliko hata mfanya yoga
hata kma ni nyimbo unasikia word after word
kama ni book auelewa line after line

acha kabisa kanywe hayo ma viroba yenu sasa uone
 
ukisha puliza hii kitu unakuwa kwnye high level of concentration kuliko hata mfanya yoga
hata kma ni nyimbo unasikia word after word
kama ni book auelewa line after line

acha kabisa kanywe hayo ma viroba yenu sasa uone

Kwa hiyo ninyi wavuta bangi huwa hamuelewi vitabu na nyimbo mpaka mvute bangi.
Kama jibu ni ndio basi hyo dawa yenu ni nzuri vinginevyo ni kuiga tu kwa masela. Hata walevi wa pombe wanaona bidhaa yao haina madhara kwa sababu tu ya addiction.
 
Dah! Ngoja na mimi ni "nyonge" akili yangu manake nauamini "mkono" wangu zaid kwenye kutoa comment!

kupata facts ya bange kuharamishwa google tu utaelewa mbinu za CIA na babylon walipoona wanapoteza mapato hasa wale wakulima wakubwa wa mashamba ya tumbaku. Na ilianza kupigwa marufuku USA then wakaiweka kwenye propaganda na oganizesheni kama WHO na FAO zikaisambaza dunia nzima. Hakukuwa na strong reason wala evidence za kujustify kuwa bange ina madhara! Hadi leo hakuna huo utafiti wa kisayansi wa kuonesha madhara ya majani hayo. Ila sasa hivi kuna wanaharakati na wataalam wa afya wanaipigia chapuo irudi kwenye matumizi ya kawaida ya binadamu! Ila tatizo dhamira yao inawasuta kwa kufikiri nguvu kubwa waliyoitumia kuipiga vita ili hali wakijua haina madhara!
 
1. Ulichoandika namba moja ni uongo mkubwa - bangi is very addictive (hebu acha kuvuta siku moja utajua)
2. Hizo moods hata zikiwa evil ones - bangi inaziongeza na hivyo huongeza uhalifu katika jamii
3. hii ya kumbukumbu umetunga wewe - madhara ya bangi ni zaidi ya kumbukumbu

mwisho, nakushauri uende kwa daktari, kama una sababu ya muhimu kutumia bangi atakuandikia na utavuta ukiwa sehemu maalum sio katika public

Mkuu, kuna kitu kinachoongeza uhalifu zaidi ya Ukosefu wa Elimu, siasa fasi, utawala bora na ongezeko la umaskini?
Hayo madhara zaidi ungetufafanulia tuelewe, maana madaktari wabobezi wanatuambia the stuff is good na ni dawa ya mambo mengi, tena sigara ni hatari kuliko bangi sasa wewe unayesema otherwise ungekuja na scientific proof. Bangi is never adictive bro, mimi huwa navuta mara chache sana, na nikiamua kutovuta wala sina tatizo. Mkuu binafsi nimewahi kusmoke na high profile figures ambao huwezi kuamini, the weed is just great, nakushauri na wewe uonje kidogo, kama harufu inakusumbua jaribu kuchukua chungwa ulikate, kisha chukua kicontainer kisichopitisha hewa weka majani upande mmoja na vipande vya chungwa upande wa pili kisha funika overnight, kesho yake utasmoke kitu chenye radha murua na harufu ya chungwa, soooo nice!:tongue:
 
Legalize it,,alcohol make you drunk, when you smoke herb, it reveals you, to yourself, there's nothing wrong smoking weed at all.
 
neggirl how can u compare gay movements with marijuana movement?

haha haaa ..mkuu nilichomaanisha hapo hata movement za kuhalalisha ushoga zilianza hivi hivi as jokes but sasa kuna watu, taasisi, nchi zinatembea kifua mbele kutetea hili.

Kwa hiyo hili la bangi si bure tutaona siku ikihalalishwa ukiachia mbali madhara yake kwa vijana na jamii nzima.
 
Mkuu, kuna kitu kinachoongeza uhalifu zaidi ya Ukosefu wa Elimu, siasa fasi, utawala bora na ongezeko la umaskini?
Hayo madhara zaidi ungetufafanulia tuelewe, maana madaktari wabobezi wanatuambia the stuff is good na ni dawa ya mambo mengi, tena sigara ni hatari kuliko bangi sasa wewe unayesema otherwise ungekuja na scientific proof. Bangi is never adictive bro, mimi huwa navuta mara chache sana, na nikiamua kutovuta wala sina tatizo. Mkuu binafsi nimewahi kusmoke na high profile figures ambao huwezi kuamini, the weed is just great, nakushauri na wewe uonje kidogo, kama harufu inakusumbua jaribu kuchukua chungwa ulikate, kisha chukua kicontainer kisichopitisha hewa weka majani upande mmoja na vipande vya chungwa upande wa pili kisha funika overnight, kesho yake utasmoke kitu chenye radha murua na harufu ya chungwa, soooo nice!:tongue:

duh!mkuu una ushawishi kama shetani,
au we shetani umekuja kwa sura ya muhuniflani?
Kwa kawaida kitu unachokiamini lazma ukitetee kwa nguvu zako zote!mateja yote 99.9% yameanzia hukuhuku ulipo wewe
 
duh!mkuu una ushawishi kama shetani,
au we shetani umekuja kwa sura ya muhuniflani?
Kwa kawaida kitu unachokiamini lazma ukitetee kwa nguvu zako zote!mateja yote 99.9% yameanzia hukuhuku ulipo wewe

Hahahaaa, ni kwa vile hatujuani tu mkuu, nina heshima zangu!
One Love!
 
nadhani kuna mtu aliwahi kuandika kule inteligence kwa kirefu kuhusu consiracy theory ya illegalization ya bangi, kwa sababu ukiangali medicinal+recereational value yake ni kubwa kuliko health and social problems tofauti na alcohol+tobacco ambazo zina graving consequence lakini mfumo dunia ukakataza. Lakini huko nchi za ulaya wanaruhusu recreational use kwa kiasi kidogo...kwahivyo ni namna ya nchi kutoona fursa na kusema ndio kwa wamagharibi. Kiafya mvuta sigara hupata madhara sana kuliko mvuta bangi..
 
Hahahaaa, ni kwa vile hatujuani tu mkuu, nina heshima zangu!
One Love!

kawaida tu mkuu, kwani mbona wapo waheshimiwa mateja (G.W.BUSH)
na wengine wabunge, mawaziri, mapadre (ktk church healthn ya Shaggy)
 
kawaida tu mkuu,kwani mbona wapo waheshimiwa mateja(G.W.BUSH)
na wengine wabunge,mawaziri,mapadre(ktk church healthn ya Shaggy)

kumbe tumeacha kujadili bangi tunajadili unga? kama haujui tofauti ya bangi na unga basi tuishie hapa mpaka utapojifunza!
 
Back
Top Bottom