Uko sahihi mpendwa.kuzimu
kuzimu
CYBERTEQ kuhusu weed cakes, kuna jamaa wangu flani maeneo ya tabata ndo anazitengeneza. According tu yeye mwenyewe, anasema ni vindo vinachanganywa kwenye mafuta yakupikia hayo ya kutengenezea keki then yanachujwa (kuna viprocess kadhaa) then ndio wanaoka keki. Soon analeta product za weed clips, weed biscuits na keki nyingine zinazokua na ladha tofauti.
NB: kula keki za vindo you don't instantly get high, until ile process ya digestion inapokua ina take process ndo unaanza kujiona high. Ila high effect ni ile ya ku smoke,
Nchi nyingne kuna kitu kinaitwa MEDICAL MARIJUANA ambapo watu wanapewa prescription na madaktari (watu wenye seizures na magonjwa mengineyo) ambao bhangi imedhibitika kuweza kupunguza maumivu na kusaidia katika tiba. Katika watu ambao nimewahi kuwashuhudia wanavuta bhangi kwa macho yangu ni yule jamaa kijana tajiri mwenye officer yake pale ppf tower (anaendesha range), ambaye pia ni mbunge wa Singapore. Bhangi nibhangue
Hahahaaa, siyo huyo tu kaka, watu wanaminya vyombo vinawapa misimamo wapo kibao mkubwa, jani kwa afya, siyo jani na njaa kali! Huyo mchizi hizo keki ningezipata ningekuwa namnunulia wife wangu na katoto kangu ka kike, maana nakaona kama kanaharahati flani hivi, kana uso macho magum kinoma kakimwangaliaga kaka yake mwenyewe anagwaya, halaf sku moja nilikakuta kanajimiminia Martini yangu nikashangaa, sku hizi imebidi wine zote ziwekwe mbali na kufungiwa!
wewe si mwafrika mkuu?
Tembea na boxer hapo street kwenu,kama hujaambiwa umedata na mibange!
Acha kabisa hiyo kitu kama unatumia ndugu
Mkuu unafananisha Bangi na Unga.
Naanza kwa Bob Marley kwa uchafu aliokuwa nao, Jimmy Cliff na wasanii wengine wavuta bangi kama kina Jah Kimbute, wewe na hiyo avatar yako si unajiona? Yaani sijawahi kuona mvuta bangi msafi hata siku moja na mwenye akili timamu.
Naanza kwa Bob Marley kwa uchafu aliokuwa nao, Jimmy Cliff na wasanii wengine wavuta bangi kama kina Jah Kimbute, wewe na hiyo avatar yako si unajiona? Yaani sijawahi kuona mvuta bangi msafi hata siku moja na mwenye akili timamu.
1. bangi haina addiction wala haijengi dependency, ukiikosa hupati alosto
2. bangi ina leta mood au inaongeza mood
3. haya madhara kma kupoteza kumbukumbu ni uongo mtupu na sijui hizo research walimfanyia nani?
kuna yule bingwa wa magonjwa ya akili yaani vichaa wa muhimbili , alidai wagonjwa wengi na takwimu walizonazo ni kuwa ukichaa au magonjwa ya akili yanasababishwa na POMBE , yaani niliishiwa na nguvu kwani nami napiga nyagi kama sina akili nzuri , siku hiyo niliposoma hiyo habari nilienda nikakutana na washikaji nikawasimulia wali react na kunitukana kweli kweli kama mzushi niliwapa gazeti na wakajisomea uzuri wa bahati ni muhimbili na mzee yule bingwa namjua vizuri mzee wa kipare, sijui kama yupo hai mpaka leo . jamani mwenye kujua hili atufafanulie kidogo , tusije tukawa na wehu ambao haujalipuka ili ikibidi tuache mapemadah!ndugu, umesababisha nimecheka sana baada ya kuvuta-picha ya shindao la Mlevi v. Mvuta-bangi! Jibu ni kwamba mvuta-bangi atashinda tu!
Alisha achaga kwani alikuwa anapuliza kipindi yuko shule, si unamuona alivyo msafi siku hizi?Barack Hussein Obama
Hao wa mtaani kwako wanavuta cha rasiNaanza kwa Bob Marley kwa uchafu aliokuwa nao, Jimmy Cliff na wasanii wengine wavuta bangi kama kina Jah Kimbute, wewe na hiyo avatar yako si unajiona? Yaani sijawahi kuona mvuta bangi msafi hata siku moja na mwenye akili timamu.