Bangi haibagui mtu

Bangi haibagui mtu

white hat

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
3,320
Reaction score
2,488
Inakupa kile unachostahili kwa wakati huo
06d007ca4783390d76b39b8b680de977.jpg
 
mbona mnaisingizia bangi hao wanamawazo ya hali ya magufuli ya sado 5000 ya maindi
 
Inakupa kile unachostahili kwa wakati huo
06d007ca4783390d76b39b8b680de977.jpg


Ndiyo maana dogo (taifa la kesho) hapo juu anataka kujiua kwa carbon monoxide? Kwa kweli wauza unga na bangi wanawamaliza bila huruma. Ulimsikia Mungu wenu Chidi Benz anavyosema kuhusu haya madawa yanayowabangua? Shauri zenu.
 
Back
Top Bottom