Bange yawatokea puani wasomi UDOM

Wavuta bangi wapo Udom, kama ambavyo wapo Udsm, IFM, CBE, SAUT, maofisini, serikalini, mitaaani, jeshini na kwingineko! I wonder why hii ya udom imekuzwa hivi. Kwa kifupi hii vita imetushinda watanzania.

Wengi wetu tuna washkaji mtaani au hata ndugu ambao wanavuta bhangi, tumefanya nini kuwasaidia?

Tumesoma kwenye shule/vyuo huku tukijua wazi smoking points za wavuta bangi ni zipi. Tulifanya nini?

Acheni unafki hapa kujifanya mnashangaa wakati tumezungukwa na wavuta bangi kwenye maisha yetu ya kawaida na tumeamua kuwanyamazia!

Polisi hawezi kupiga vita dawa za kulevya wakati vigogo wanasupport, na wanatengeneza pesa kupitia huo uchafu. Na baadhi yao ni watumiaji wazuri sana.

Ukitaka kumaliza matumizi ya dawa za kulevya, dhibiti uingiaji au uzalishaji wake!
 
Wamefanya kosa kiukweli, lakini lengo la upekuzi si hilo. Lengo ni kushusha hadhi na heshima ya wanafunzi wa vyuo vikuu ili wasisikilizwe hata pale wanaponyimwa haki zao.
Nawashauri wanafunzi waliobaki, watoe tamko la kulaani kitendo kilichofanywa na wenzao wachache then waende mbali kuanisha uwepo wa tabia hizi sehemu mbalimbali. Hadi kwenye taasisi za serikali kuna wavuta bangi wengi tu.
Hivi mnajua wanajeshi na polisi wanavuta sana bangi?

Na mimi nilihisi kuna jambo wanalitafuta, wapate kusema udom ni wavuta bangi ndio maana wanagomagoma. Nonsense
 
Ikwisa mwakasitu anajiaibisha sana! Kavuta sana bangi tangu akiwa anasoma shule moja ya secondary mkoani Rukwa. Kipindi hicho baba yake ni mkuu wa magereza mkoani humo. Kama angesoma bila vikwazo vyovyote ange graduate mwaka 2008. Ona sasa ameshakuwa mtu mzima (29 years old) lakini bado anajiaibisha yeye pamoja na wazazi wake.
Dah! Huyo Nkembo hajaacha bangi mpaka sasa.Kweli binadamu wabishi aliangukaga kutoka ghorofa ya pili kutokana na pombe + bangi akaumia mpaka akashindwa kufanya mitihani ya kumaliza semester(UE) na kushindwa graduate this year.
Elimu bila misokoto inawezekana yaani kauli mbiu nyingine hazitofautiani na usikojoe hapa watu watakojoa tu.
 
Huna akili wewe, wamekamatwa watu 16, Udom kuna crowd ya around 20,000 students. Una'generalize vipi kwamba wote wavuta bangi ndo maana migomo mingi?

By the way, sababu za migomo yao zinaleta mantiki unless otherwise unasupport magamba kufa na kupona. Kwa mfano, mgomo wa mwisho pale chuoni ulikuwa kuhusu madai ya mafunzo kwa vitendo. Wanachuo wanataka mafunzo, serikali haitaki. Nani mvuta bangi hapo?

Serikali bila shaka. Fedha kwa ajili ya elimu ya vitendo wamenunulia bangi na kuhonga. Bila shaka serikali wanavuta.
 
hao ni police na si uongozi,nasikia pale education mpaka mtandao wa wezi ulikuwepo kwani block k ilivamiwa baadh ya vyumba na kuibiwa...ikasemekana ni wanafunzi wenye mtandao mkubwa sana hapo.
 
Wamefanya kosa kiukweli, lakini lengo la upekuzi si hilo. Lengo ni kushusha hadhi na heshima ya wanafunzi wa vyuo vikuu ili wasisikilizwe hata pale wanaponyimwa haki zao.
Nawashauri wanafunzi waliobaki, watoe tamko la kulaani kitendo kilichofanywa na wenzao wachache then waende mbali kuanisha uwepo wa tabia hizi sehemu mbalimbali. Hadi kwenye taasisi za serikali kuna wavuta bangi wengi tu.
Hivi mnajua wanajeshi na polisi wanavuta sana bangi?

Lengo kuwatafuta wahalifu waliovamia block k,makaz ya wasichana.
Lengo la pili ni kuwapg mkwara bda ya kuwa kuna tetesi za mgomo.
 
Nyuma ya pazia kuna nguvu ya kisiasa, kumbuka mpaka sasa udom ndio chuo pekee kinachotumika na wanasiasa wa pande zote mbili kwa karibu nguvu sawa.
hao ni police na si uongozi,nasikia pale education mpaka mtandao wa wezi ulikuwepo kwani block k ilivamiwa baadh ya vyumba na kuibiwa...ikasemekana ni wanafunzi wenye mtandao mkubwa sana hapo.
 
Nyuma ya pazia kuna nguvu ya kisiasa, kumbuka mpaka sasa udom ndio chuo pekee kinachotumika na wanasiasa wa pande zote mbili kwa karibu nguvu sawa.

Hbr za ndani ni kuwatisha tu,siasa ni kama maji ya kunywa udom.
 
kwa serikali makini ingeweza kutoa fedha ili ufanyike uchunguzi wa kitaalamu ili kuweza kutambua tatizo la bangi,madawa ya kulevya na unywaji wa pombe ni kubwa kiasi gani,sababu zake ni zipi n.k hii ingesaidia kutambua mikakati ya kufanya ili kukabiliana na tatizo hili.leo hii umekamata wanafunzi wa udom kesho utaenda mzumbe n.k huu ni upotevu wa fedha na siamini kama kukamata wanafunzi hawa kutasaidia kupunguza tatizo.nakumbuka pale viwanja vya mabibo hosteli niliwahi kushuhudia upande mmoja vijana wanajifunza mapambio,wengine wanapeana mabusu huku hewa ya eneo lile ikiwa nzito kwa harufu ya bange.
 
hawa ndio viongozi wetu wa kesho!
Full bangi kichwani!
Polisi ndio waliowawekea hiyo bangi. Ndio kawaida yao, na kwa kuwa lina msukumo wa kisiasa hata madawa ya kulevya walipewa sema waliyasahau. Hawa jamaa polisi ni wapuuzi sana majority form 4 waliofeli na division 4 ya 33
 
Kweli wananchi wamechoka hata heshima kidogo kwa kiongozi wa nchi hawana!! Hii ni ishara mbaya sana kwa usalama wa Taifa.

...mkuu unaogelea taifa lipi?,fungua macho na acha njozi za mchana...taifa letu{TANGANYIKA} lilisha-uzwa hapa tuko ugenini aka utumwani(Tanzania)...
 
Huna akili wewe, wamekamatwa watu 16, Udom kuna crowd ya around 20,000 students. Una'generalize vipi kwamba wote wavuta bangi ndo maana migomo mingi?

By the way, sababu za migomo yao zinaleta mantiki unless otherwise unasupport magamba kufa na kupona. Kwa mfano, mgomo wa mwisho pale chuoni ulikuwa kuhusu madai ya mafunzo kwa vitendo. Wanachuo wanataka mafunzo, serikali haitaki. Nani mvuta bangi hapo?

We Mdau wa chuo cha kata eeeh! Zile ambazo ni voda fasta eeeh! Acha bangi! Hiyo kitu haramu. Anyway ni kweli sio wote wavutaji,lakini maringleaders always ni wavuta bangi,hebu fanya uchunguzi na utagundua hilo Mkuu.
 
kaimu kamanda alisema hlo zoezi ni endelevu,
Vijana vuten zíishe kbla hawajaja tena....
 
msako uliofanywa kitivo cha elimu na kitivo cha sayansi ya jamii.,sanaa na lugha ulipelekea kuwatia nguvuni vijana kumi...ambao ni
kitivo cha elimu

josephu jona(27
mwakasitu ikwisa(29
hamisi issaka(25
shaban saidi(25 wote ni mwaka 3.
Stambuli rahim(22 mwaka wa 2.

Kitivo cha sayansi ya jamaii,sanaa na lugha ni.
Mutongore filbert(27
samweli seiboko(24
ahmed abdulazizi (20
nkembo boniface(24 wote hawa ni 3yr.
Walipopekuliwa walikutwa na misokoto 16 ya bange.
Wasomi wetu hao.

hii kitu bora ihalalishwe watu wapate ajira...tuige mfano wa jamaica ambapo bange inatumika kuliko tumbaku na imeajiri watu wengi sana, kuanzia mashambani, packaging hadi vendors. Ni chanzo kikuu cha ajira isipokuwa ni uchoyo na roho mbaya na sheria zenu mbovu. Kenya na uganda kulima, kuuza na kula mirungi ni halali na watu wengi wanaendesha maisha yao kwa kutegemea mirungi. Imefika wakati sasa ambapo zao hili la bange liruhusiwe ili tusiokuwa na ajira tupate pa kutokea. Nawasilisha
 
tatzo c kukutwa na bangi may be wanafanya business ka bumu lenyewe halitosh afu 2na viongozi serikalini ambao wana maamuzi bora ya wavuta bangi. nmesau kumbe wanasoma udom-university of dormant minds
 
We Mdau wa chuo cha kata eeeh! Zile ambazo ni voda fasta eeeh! Acha bangi! Hiyo kitu haramu. Anyway ni kweli sio wote wavutaji,lakini maringleaders always ni wavuta bangi,hebu fanya uchunguzi na utagundua hilo Mkuu.

Hujajibu hoja yangu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom