Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,929
Kesho ni hukumu. Lakini lolote linaweza kutokea. Tuliombee sana taifa huru la Tanganyika.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na upendo aliumba vitu viwili, Dunia (ardhi) na mwanadamu. Hivi viwili ndio vinabeba utukufu wake, heza na vyote, chezea vyote lakini sio hivyo viwili.
Madini tulishauza yote. Mbuga na maliasili nyinginezo tumeshagawa zote. Mafuta na gesi sio vyetu japo vipo juu ya ardhi yetu teule. Kuna ile migodi mitatu ya helium tuliyouza kwa dola milion mia sita tu.
Hatuna kingine kimebaki cha kuuza zaidi ya hizi bandari zetu.. Ndio pekee kilichosalia maana hata sisi wenyewe ni kama tumeuzwa tayari.
Bandari zetu ni masalia kwenye tunu nyingi tulizokwisha gawa kwa wageni. Tuzilinde kwa jasho na damu. Kwa machozi na maumivu. Kwa kila hali kwa kila silaha kwa kila mbinu. Bandari zetu zibaki.
Mungu Ibariki Tanganyika. Taifa huru linalogombaniwa kupokonywa hata kile kidogo kilichobaki.
My apology nimeandika na stress.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na upendo aliumba vitu viwili, Dunia (ardhi) na mwanadamu. Hivi viwili ndio vinabeba utukufu wake, heza na vyote, chezea vyote lakini sio hivyo viwili.
Madini tulishauza yote. Mbuga na maliasili nyinginezo tumeshagawa zote. Mafuta na gesi sio vyetu japo vipo juu ya ardhi yetu teule. Kuna ile migodi mitatu ya helium tuliyouza kwa dola milion mia sita tu.
Hatuna kingine kimebaki cha kuuza zaidi ya hizi bandari zetu.. Ndio pekee kilichosalia maana hata sisi wenyewe ni kama tumeuzwa tayari.
Bandari zetu ni masalia kwenye tunu nyingi tulizokwisha gawa kwa wageni. Tuzilinde kwa jasho na damu. Kwa machozi na maumivu. Kwa kila hali kwa kila silaha kwa kila mbinu. Bandari zetu zibaki.
Mungu Ibariki Tanganyika. Taifa huru linalogombaniwa kupokonywa hata kile kidogo kilichobaki.
My apology nimeandika na stress.