Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,204
- 10,949
Bandari ya Eliat kusini mwa Israel inakusudia kuwapunguza wafanyakazi wake zaidi ya nusu baada ya mamlaka ya bandari hiyo kupata ukata mkubwa uliotokana na kukosekana kwa meli zinazotumia bandari hiyo kulikosababishwa na mashambulizi ya wanamgambo wa Houth wa Yemen.
Bandari hiyo kikawaida inajishughulisha zaidi na uingizwaji wa magani nchini humo na usafirishaji wa madini ya potassium kutoka bahari maiti.
Bandari hiyo ni ndogo kuliko bandari za Haifa na Ashdod zilizo bahari ya Mediterranean hata hivyo ni muhimu sana kwani ndio njia pekee inayoweza kutumika bila kutumia mfereji wa Suez.
Vile vile bandari hiyo ipo jirani na bandari pekee ya Jordan ya Aqaba.
Bandari hiyo kikawaida inajishughulisha zaidi na uingizwaji wa magani nchini humo na usafirishaji wa madini ya potassium kutoka bahari maiti.
Bandari hiyo ni ndogo kuliko bandari za Haifa na Ashdod zilizo bahari ya Mediterranean hata hivyo ni muhimu sana kwani ndio njia pekee inayoweza kutumika bila kutumia mfereji wa Suez.
Vile vile bandari hiyo ipo jirani na bandari pekee ya Jordan ya Aqaba.