kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Kama vifaa vilivyomo kwenye makontena ya Mh. Makonda bandarini vitagawiwa Tanzania nzima basi sina tatizo na kusamehewa kodi.
Lakini kama ni kwa Dar es Salaam tu siungi mkono kwasababu itakuwaje siku na sisi wa Mpwapwa na Kongwa tutakapoagiza vifaa kama hivyo kutoka Canada?
Tutasamehewa na sisi? au kwakuwa hatuna bandari ndiyo basi tena? Shida za walimu ziko nchi nzima sio Dar es Salaam tu jamani.
Lakini kama ni kwa Dar es Salaam tu siungi mkono kwasababu itakuwaje siku na sisi wa Mpwapwa na Kongwa tutakapoagiza vifaa kama hivyo kutoka Canada?
Tutasamehewa na sisi? au kwakuwa hatuna bandari ndiyo basi tena? Shida za walimu ziko nchi nzima sio Dar es Salaam tu jamani.