Mtuturas
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 458
- 859
Kwa waliofanya oral na sekretarieti ya ajira.
Waliofaulu wanapigiwa simu na ma hr wa TPA na kutakiwa kwenda.
Kuripoti kazini Jumatatu 25/03/2019.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kupata ajira TPA.
kusema kweli mchakato ni wa haki simjui mtu wala sikuhonga chochote sekretarieti ya ajira.
Hongereni kwa walifanikiwa kupigiwa simu na kwa ambao hawakufanikiwa niwaambie waendelee kustruggle na kumuomba Mungu ipo siku mambo yatakuwa vile wanategemea
Waliofaulu wanapigiwa simu na ma hr wa TPA na kutakiwa kwenda.
Kuripoti kazini Jumatatu 25/03/2019.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kupata ajira TPA.
kusema kweli mchakato ni wa haki simjui mtu wala sikuhonga chochote sekretarieti ya ajira.
Hongereni kwa walifanikiwa kupigiwa simu na kwa ambao hawakufanikiwa niwaambie waendelee kustruggle na kumuomba Mungu ipo siku mambo yatakuwa vile wanategemea