Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Ila ndo ukweli huo...mchakato ulikua fair sana.....truth be toldShukuru Mungu umepata tu hayo maneno menginē eti mchakato wa haki sijui sikuhonga achana nayò
Ila ndo ukweli huo...mchakato ulikua fair sana.....truth be toldShukuru Mungu umepata tu hayo maneno menginē eti mchakato wa haki sijui sikuhonga achana nayò
Aiseee mchakato ulikua fair. Mimi sijatumwa. Kwa hili Utumishi big up sanaWatu hawatangazi kazi waliyopata. Ninaamini umetumwa kuwaaminisha watu kuwa mchakato ulikwenda bila upendeleo. Hilo ndio lengo lako kuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hawatoi Mkuu...ukiachana na Apppointment letter?Zaidi ya barua ya kuitwa kazini mkataba sahau tuna kitambo hapa hatuna hiyo mikataba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamshika kweli Mkono.?Mkuu karibu sana bandarin na hongera kwa kupata mtu wa kukushika mkono
Utafikiri ametumwa kuandika anayoyasema!!!!Shukuru Mungu umepata tu hayo maneno menginē eti mchakato wa haki sijui sikuhonga achana nayò
Wanasubiri majibu kutoka necta ya uhakiki mapaka yatakaporudi kwahiyo ajira mpya wote mtaajiriwa ila mkataba hadi majibu ya uhakiki.Kwanini hawatoi Mkuu...ukiachana na Apppointment letter?
Sasa mbona wanachukua muda mrefu sana? Kuhakiki? Au ndo janja janja?Wanasubiri majibu kutoka necta ya uhakiki mapaka yatakaporudi kwahiyo ajira mpya wote mtaajiriwa ila mkataba hadi majibu ya uhakiki.
Nimekuinbox mkuu naomba msaada wakoKwa waliofanya oral na sekretarieti ya ajira
waliofaulu wanapigiwa simu na ma hr wa TPA na kutakiwa kwenda...
Hongera sana, unidodoshe oral ya utumishi maswali yanayoulizwa ni yepi ya class au generalNdio kilikuwa kitu cha kwanza kukifanya mara baada ya kumaliza kuongea na simu yao
mHANDISI kakoko AMEFUTA POSHO ZOTE, BANDARI SASA NI KIJIWEAsante mkuu, bado sijasaini mkatakaba mkuu, kwa sasa nina ajira yangu nyingine naendelea nayo nikishauona mkataba wao wa kazi ndio nitafanya maamuzi ya kujoini nao au kudecline their offer...
Upi kaka.