Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Ndio ujue sasa kuwa baba yako huyo ni BABA wa kufikia, si baba kweli....anatumika!
Ni mara 10 hii nchi tungempa jembe langu lusinde kuliko huyu mwimba taarabu vasco da gama.
ndio rais wako anajua vizuri. Alichosema ni "chunga tusikamatwe" na "50% yangu upfront"
Ni mara 10 hii nchi tungempa jembe langu lusinde kuliko huyu mwimba taarabu vasco da gama.
Ndio ujue sasa kuwa baba yako huyo ni BABA wa kufikia, si baba kweli....anatumika!