Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
Mimi mwanaCCM
Lakini hili la nchi yangu kuuzwa huku nikiwa mzima linanuuma saana
Hivi kitu kama hiki kinaweza kufanyika bila RAIS kujua?
Je Rais wangu alikuwa anajua hiki kitu?
Chukulia mfano wa familia BABA ana viwanja kama kumi mwenyewe ndo ana umiliki wa hivyo viwanja
mtu akitaka kununua lazima yeye atie sahihi au abariki, je kwa hili bandari kuuzwa Rais wangu kabariki?
Lakini hili la nchi yangu kuuzwa huku nikiwa mzima linanuuma saana
Hivi kitu kama hiki kinaweza kufanyika bila RAIS kujua?
Je Rais wangu alikuwa anajua hiki kitu?
Chukulia mfano wa familia BABA ana viwanja kama kumi mwenyewe ndo ana umiliki wa hivyo viwanja
mtu akitaka kununua lazima yeye atie sahihi au abariki, je kwa hili bandari kuuzwa Rais wangu kabariki?