La makolo lipo??Hii sasa ni sifa, yaani Yanga imekomba makombe yote ya msimu!
View attachment 3397638
Banda la Simba lipo eneo gani maana nimezunguka kote sijaliona!Hii sasa ni sifa, yaani Yanga imekomba makombe yote ya msimu!
View attachment 3397638
Hebu muulize GENTAMYCINE bila shaka atalijua lilipo!La makolo lipo??
Waonyeshe nini sasa?Banda la Simba lipo eneo gani maana nimezunguka kote sijaliona!
Wamuoneshe hata mpanzu.Waonyeshe nini sasa?
Yaani aendelee kufukuzwa?Hii ilikuwa chance ya kuuza jersey mpya mapema kabisa
Sheria ngowi afukuzwe zaidi huko aliko
Na ni kweli. Jezi zingekuwepo watu wangeondoka na mizigo.Hii ilikuwa chance ya kuuza jersey mpya mapema kabisa
Sheria ngowi afukuzwe zaidi huko aliko
Kibegi cha makombe.Waonyeshe nini sasa?