Ndagullachrles
Senior Member
- Jun 20, 2023
- 198
- 209
Watangazi wa radio ya masafa ya fm ya Banana wameuandikia uongozi wa radio hiyo barua wakiutaka kulipwa mishahara ya ya miezi mitatu vinginevyo watachukua hatua stahiki.
Wametoa saa 72 kwa uongozi uwe umeshalipa mishahara wakidai kwa sasa wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwamo kushindwa kumudu gharama za maisha.
Uongozi wa radio umewajibu ukidai kuwepo na changamoto ikiwamo akaunti zake kufungwa.
Umeahidi kulipa mishahara wiki ijayo.
Acha tusubirie wiki ijayo maana yajayo yana.
Wametoa saa 72 kwa uongozi uwe umeshalipa mishahara wakidai kwa sasa wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwamo kushindwa kumudu gharama za maisha.
Uongozi wa radio umewajibu ukidai kuwepo na changamoto ikiwamo akaunti zake kufungwa.
Umeahidi kulipa mishahara wiki ijayo.
Acha tusubirie wiki ijayo maana yajayo yana.