Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,692
- 218,210
Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .
Chanzo - Mwananchi
Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .
Chanzo - Mwananchi
Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .