Balozi wa Uganda atimuliwa Marekani kwa kuleta Uafrika, Alimtandika mkewe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,692
218,210
Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .

Chanzo - Mwananchi

Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .
 
choo.JPG
 
Jamaa alidhani yupo Africa nini!??

Jamaa aliandaa Misa ya Shukran kwenye Makazi yake Washington, Mmoja wa wahudhuriaji wa Missa hiyo alikuwa Hawara yake ambae Huyo Mama alikuwa anamjua na alipomuona Yule Hawara akamtambua na akalianzisha kwa Mumewe mbele ya wageni

Baada ya Misa kwisha Yule Mwanaume ukabidi amtembezee kisago cha Mwana ukome Yule Mkewe ili awe na adabu Siku nyingine
 
Nilikuwa na kijisafari changu cha kibiashara huko Maryland , nafikiria niende au niache , naona aibu sana !
Kama unatumia passport ya mwananchi (ordinary) haina shida; nenda zako kapige kazi Mkuu. Ila kama unatumia yale ma-passport wenyewe sijui wanayaita ya watu maalumu ambayo yanawatia viburi kujiona wao ni special sana kweli utaaibika; Trump anawaona "takataka" tu kutokana na matendo na mienendo yao kama huyo wa Uganda.
 
Jamaa aliandaa Misa ya Shukran kwenye Makazi yake Washington, Mmoja wa wahudhuriaji wa Missa hiyo alikuwa Hawara yake ambae Huyo Mama alikuwa anamjua na alipomuona Yule Hawara akamtambua na akalianzisha kwa Mumewe mbele ya wageni

Baada ya Misa kwisha Yule Mwanaume ukabidi amtembezee kisago cha Mwana ukome Yule Mkewe ili awe na adabu Siku nyingine
Typical black culture! This the precise definition of shit-hole. Halafu kwa matendo haya wanakimbilia kutoa vijitamko vya kijinga kulaani.
 
Back
Top Bottom