MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,343
- 11,227
Wapi?Nini kilitokea sasa ?
Wapi?Nini kilitokea sasa ?
Hapa Trump nimshenzi tuuShithole country
Mimi niko hapa florida naona aibu hadi kwenye daladala yan makonda na wapiga debe watanizomeaNilikuwa na kijisafari changu cha kibiashara huko Maryland , nafikiria niende au niache , naona aibu sana !
Wooote wawili wanarudi ili kuanza maisha ya kiubangaizaji. Hivi kama mama angalimtwanga mume, hao wadhungu wangaliamuaje?Piga tu.
Kwani huyo balozi akirudishwa huyo mama ndio atabaki tena tukishuka airport nchini kwetu ndio nakuponda zaidi upate akili
Si ndio hapo ila nachomkubali museveni atampangia kazi nchi nyingine tuWooote wawili wanarudi ili kuanza maisha ya kiubangaizaji. Hivi kama mama angalimtwanga mume, hao wadhungu wangaliamuaje?
Hongera kwa balozi kukinda mila,huo ni ushujaa sio aibuJamaa aliandaa Misa ya Shukran kwenye Makazi yake Washington, Mmoja wa wahudhuriaji wa Missa hiyo alikuwa Hawara yake ambae Huyo Mama alikuwa anamjua na alipomuona Yule Hawara akamtambua na akalianzisha kwa Mumewe mbele ya wageni
Baada ya Misa kwisha Yule Mwanaume ukabidi amtembezee kisago cha Mwana ukome Yule Mkewe ili awe na adabu Siku nyingine
Waafrika wamezidiwa hata na wanyama wa mwituni , hakuna mnyama anayepiga demu wake .Hili la kupiga mwanamke halikubaliki huko Marekani na kokote duniani. Tujitahidi sana kujizuia, maana kumpiga unamwonea.
Ndio.Wewe ni mwafrica ?
Je uvundo hakuna ?
Malafyale fiki? Heri ya mwaka mpya kwahyo unakubali kwamba mwanamke akupande kichwani kisa tu wazungu?Wizara ya Mambo ya nje ya Marekani imemtimua balozi mdogo wa Uganda nchini humo kutokana na ugomvi wa kifamilia uliosababisha ampige mke wake , mangumi na mateke .
Chanzo - Mwananchi
Mytake - Mnapoenda kwenye nchi za watu mambo yenu ya kishamba yaacheni hukohuko kwenu , nchi za watu hata hirizi ya kiunoni ni lazima uivue kwanza ndio uende .
Abhakikulu bikolondikwa ukupyelesigwa , ubhu kurya bwenu musyalege nabho kumyinu kukuko.Malafyale fiki? Heri ya mwaka mpya kwahyo unakubali kwamba mwanamke akupande kichwani kisa tu wazungu?
Abhasungu bhatonangile ikisu kyetu
Useme"sisi ni shithole countries. Sio ninyi. Samahani kama wewe ni mzungu wa Marekani au Ulaya n.k.Hao ndio aina ya viongozi wa kiafrika. Mkiitwa shit-hole mnanuna wakati matendo yenu yana-prove ninyi ni shit-holes kweli.
Raia wakikuuliza unatokea wapi waambie .I'm coming from the shithole country names as Tanzania(samahani kwa kiingereza kibovu) Ukuwajibu hivyo mwenye akili atakuelewa.Nilikuwa na kijisafari changu cha kibiashara huko Maryland , nafikiria niende au niache , naona aibu sana !