The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,279
Hapo ndio maneno yangekuwa provedWooote wawili wanarudi ili kuanza maisha ya kiubangaizaji. Hivi kama mama angalimtwanga mume, hao wadhungu wangaliamuaje?
Hapo ndio maneno yangekuwa provedWooote wawili wanarudi ili kuanza maisha ya kiubangaizaji. Hivi kama mama angalimtwanga mume, hao wadhungu wangaliamuaje?
Jamaa aliandaa Misa ya Shukran kwenye Makazi yake Washington, Mmoja wa wahudhuriaji wa Missa hiyo alikuwa Hawara yake ambae Huyo Mama alikuwa anamjua na alipomuona Yule Hawara akamtambua na akalianzisha kwa Mumewe mbele ya wageni
Baada ya Misa kwisha Yule Mwanaume ukabidi amtembezee kisago cha Mwana ukome Yule Mkewe ili awe na adabu Siku nyingine
Piga tu.
Kwani huyo balozi akirudishwa huyo mama ndio atabaki tena tukishuka airport nchini kwetu ndio nakuponda zaidi upate akili
Wooote wawili wanarudi ili kuanza maisha ya kiubangaizaji. Hivi kama mama angalimtwanga mume, hao wadhungu wangaliamuaje?
Atabaki lkn sio kwa hadhi ya diplomaticMwanamke anaweza asirudishwe akitaka kubaki. Akapata Lawyer mzuri wa kumtetea, tena anaesimamia masuala ya haki za wanawake.
Akasimama kwenye kigezo hiki cha maisha yake kuwa hatarini na mume wa hivi kama watamrudisha.
Akili yake tu.
Waafrika wanauana wenyewe kwa wenyewe huko marekani na huku afrika ndio usisemeIla wazungu kupiga waafrika na risasi ndio ustaarabu huo huko marekan
Sasa hapo ndio ataona life la kuishi kwa kubeba box lilivyokuwa gumu.Yap, ni kweli.
Pia ifahamike SHIT HOLES wote no Viongozi Wa Africa Na sio Wanaowaongoza!! Hongera TRUMP AFRICAN LEADERS ni Bonge LA ma SHIT HOLES MWANAGU!!??
Mkuu, umesikia wapi?nasikia hata wa magogoni anatandikaga hasa?
Sasa hapo ndio ataona life la kuishi kwa kubeba box lilivyokuwa gumu.
Si afadhali abebe box na amani yake kuliko aishi ki diplomat na kuletewa hawala nyumbani, na akilakamika au kum confront hawala achwape? Wanaume wa Africa nimewavulia kofia.
Hio shithole unatakiwa uiandike kwa herufi kubwa na ui bold kabisaShithole country
Kamwene
Alianzisha ugomvi kwny sherehe ya kibalozi alitegemea nn
MnogeKamwene