Gwaks makono
Senior Member
- Aug 27, 2011
- 110
- 16
Balozi wa Tanzania amekana taarifa zilizosambaa kwamba kapewa masaa 48 kwamba anatakiwa aondoke nchini kwao kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu Balozi PATRICK TSERE amekanusha uvumi huo.
balozi wa tanzania amekana taarifa zilizosambaa kwamba kapewa masaa 48 kwamba anatakiwa aondoke nchini kwao kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu balozi patrick tsere amekanusha uvumi huo.
Ukikuwa utaacha!!watanzania bwana kwa kuzusha, hawajambo!!!!!1 cjui waliyapata wapi. Watakuwa waislamu hawa make wao hata wakisikia mlio wa punda wanahisi anapigwa.