William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Rais amemteua Balozi Radhia Msuya, kuwa balozi wetu mpya South Africa na pia amemhamishia DC Washington, Balozi Mwanaidi kutoka London na the dataz ni kwamba Balozi Sefue anahamishiwa kutoka DC kwenda UN, New York.
- According to the dataz juhudi zote za Balozi Mwanaidi kutaka kujitoa katika kazi ya Ubalozi na kurudi nyumbani kuendeleza shirika lake binafsi la sheria, REX ziligonga mwamba siku chache zilizopita, alipoaarifiwa kwamba Rais amekataa kuikubali barua yake ya siri iliyoomba hivyo.
Mabadiliko yanafanyika maramoja, mnasemaje wakuu?
Respect.
FMEs!
- According to the dataz juhudi zote za Balozi Mwanaidi kutaka kujitoa katika kazi ya Ubalozi na kurudi nyumbani kuendeleza shirika lake binafsi la sheria, REX ziligonga mwamba siku chache zilizopita, alipoaarifiwa kwamba Rais amekataa kuikubali barua yake ya siri iliyoomba hivyo.
Mabadiliko yanafanyika maramoja, mnasemaje wakuu?
Respect.
FMEs!