Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Now Seriously: Lazima mtu ambaye anakabidhiwa dhamana ya kuongoza mission yetu nje awe na uwezo wa kuisimamia kweli.Nimeshauri tu ila ni muhimu
Hivi mbona wataalamu hamtoi darasa.
1.What is tanzania Mission/objectives in SA, USA, Japan, China and Kenya
2.What is the max stay of an ambassador in a station.