WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,610
- 5,276
Ujinga ujinga na upumbavu upumbavu wa Chato na ukabila ukabila kwishaaa.Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.
Ujinga ujinga na upumbavu upumbavu wa Chato na ukabila ukabila kwishaaa.Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.
Ni vile una simu janja so unaweza changia wazo lako unavyotaka lakini kichwani mwako ukawa empty.Ujinga ujinga na upumbavu upumbavu wa Chato na ukabila ukabila kwishaaa.
Kama ni empty yule Mungu wenu yuko wapi,na kwa nini mlimfanya Mungu wakati mlijua wazi kuwa ni mwanadamu kama ninyi,acheni ushenzi sisi sote ni binadamu,Vyeo vipo kwa ajili ya wanadamu lakini pumzi ni ya Mungu,kuweni makini na ujinga wenu,mtu kufanya vizuri au vibaya isiwe sababu ya kumwona kuwa yeye anafaa kuliko wanadamu wengine.Ni vile una simu janja so unaweza changia wazo lako unavyotaka lakini kichwani mwako ukawa empty.