EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.
#MwananchiUpdates
Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.
#MwananchiUpdates
Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.