hujasikiliza wewe.
hata report ya kamati haikumu-implicate kagasheki kwenye upuuzi uliotokana na tokomeza, execution ilitolewa kabisa mikononi mwake, Kagasheki alipambana sana
mhaya mwenzio nini
Ccm hapamfai kabisa! Njoo Chadema
Ninaomba kwa umoja wetu tupeleke tweet kwa Rais wetu, twitter handle yake ni ..@jmkikwete na usisahau hashtag #KagashekiArudishwe
hii ni kwa sababu naamini kwamba kagasheki ni moja ya mawaziri 5 bora kwa sasa, na kwa hili najua siko peke yangu.
Kwa wale waliofatilia Bunge jana, na waliosoma ile report kwa ukamilifu wake watagundua tatizo la operesheni tokomeza lilikua kagasheki kuwa side lined wakati wa execution, hata ile plan ya mwisho ya opersheni hakupewa.
Wakati ninaamini Nchimbi na Nahodha ilikua sahihi kabisa kwa wao kustep down au kufukuzwa (vyovyote ilivyotokea) kwa kagasheki na labda mathayo david mathayo haikua fair.
Pamoja na kwamba ninahisi mathayo hakuhusika kabisa na hii operation tokomeza, sijaona utendaji wake kiasi nitamani tupigane arudi, kagasheki kazi yake imeonekana, anahitaji kuiendeleza
Sijapendezwa hata Kidogo kwa
Kagasheki Kujiuzulu, Makosa ni kweli yalifanyika kwenye
Oparation hii.lakini amini nakwambia
waliofanya makosa ni kina Emanuel
Nchimbi,pamoja na Vuai Nahodha, Kwanini natafakari kwa huyu mzee
Kagasheki,kwanza amejitahidi
kupambana na Majangili kwa nguvu zote
mpaka kufikia kuomba msaada kwa Rais
amsaidie,maana majangili wana mtandao
mpana,najaribu kufikiria kwamba majangili inasemekana ni makada kutoka chama chake
.(Ccm) Je, kwa njia hizo uoni kwamba
Kagasheki ameingizwa tu kwenye hatia
apate kibano atolewe? Majangili yalikuwa
yamebanwa kiasi fulani,Kagasheki
alijitahidi mno kupambana na Majangili,hivyo majangili yalikuwa
yanatumia mpaka Wabunge wampinge
Kagasheki,Jamani mtandao wa Ujangili
una mikono mipana sana na mirefu,Je
kuondoka kwa Kagasheki mustakabali wa
pembe za ndovu itakuaje? Msimamo wangu Kagasheki amepatwa na
bahati mbaya ya kisiasa,lakini waliotakiwa
waondoke ni kina Mzengo Pinda,Nchimbi, Vuai, Chikawe, Mkuchika, ambao Wizara
zao ndiyo zenye kuhusika na matukio
makubwa sana ambao wananyooshewa
kidole na Wananchi,' kama kung'olewa macho Kibanda,Kuuwawa Mwangosi,Kung'o
lewa kucha Ulimboka,na mateso ya kila
aina ya raia,pamoja na mabomu kupigwa
wana Chadema kwenye mikutano yao,na
waziri akiendelea kufyatua tumbo tu
kama wanaokufa ni Dagaa,huyu Nchimbi alishapoteza uhalali wa kuwa waziri, Sasa kama Oparation ya maliasili,hawa
wanajeshi waliingiaje kuttoa vichapo?
Nakubali kabisa kuliandaliwa mazingira
ya Kuhujumu zoezi Jema la kupambana na
Majangili na kuishia kupambana na
Wafugaji.Mungu ttusaidie kwa hili, Hongera Kagasheki,nitaendelea kukupa
heshima yangu kwako,wewe ni Shujaa.
Kakashegi alizaliwa waziri, na Atakua waziri hadi kufa..... mijitu mingine bana