...Balozi Khamis Kagasheki katika hili umeonewa hatia yako siioni bado

weka picha ya ushahidi wa jinsi pesa isivyoweza kushindwa na lolote.

Tunajipumbaza wenyewe na imani zetu, hakuna kinachoshindikana kwa maamuzi ya pamoja,

pesa ni makaratasi tu

Kama unaikumbuka habari hii! Utaamini kile ninachokisema





Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi
Khamisi Kagasheki amemtuhumu Mkuu
wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa
wa Arusha (RCO), Diwan Nyanda,
kuhujumu operesheni `tokomeza
majangili', baada ya kudaiwa kuwatorosha majangili wawili raia wa
kigeni.
Tuhuma hiyo nzito ilitolewa na Balozi
Kagasheki, jijini Dar es Salaam jana,
wakati akitangaza kuanza kwa
operesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaojihusisha na vitendo vya ujangili,
biashara haramu ya pembe za ndovu,
faru na maliasili ya misitu nchini kote.
Katika operesheni hiyo iliyopewa jina la
`tokomeza ujangili' alisema ilianza hivi
karibuni na inahusisha majeshi yote ya ulinzi na usalama.
Waziri Kagasheki alisema, kiongozi huyo
wa jeshi la polisi alisaidia kuwatorosha
watu wawili wenye uraia wa nchi ya
Saud Arabia ambao walikuwa
wakishikiliwa baada ya kukutwa wakiwa na silaha na baadhi ya
vithibitisho vinavyoonyesha walikuwa
majangili.
"Inasikitisha sana na inaturudisha nyuma
ikiwa kama kiongozi wa jeshi anayevaa
sare ya Watanzania, kwa makusudi anawaachia watuhumiwa wa ujangili na
kusaidia kuondoka nchini," alisema
Kagasheki.
Alisema katika tukio hilo, polisi
walifanikiwa kuwakamata watu hao
wakiwa na vithibitisho vyote vya kujihusisha na ujangili na kuwapeleka
kituo cha polisi Arusha kwa ajili ya
mahojiano.
Akielezea mchezo huo ulivyofanyika,
alisema kabla ya kuwekwa rumande,
watu hao walinyang'anywa hati zao za kusafiria ili kuwazuia wasitoroke. Lakini
katika hali ya kushangaza (RCO), Nyanda,
alihakikisha watu hao anawatoa nje
kwa dhamana na kisha aliwakabidhi hati
hizo kitu kilichosababisha watoroke
nchini.
 
Ndugu zangu kwa wale wazalendo wanaoheshimu na kuipenda Tanzania hakika mtakubaliana na mimi kuwa majangiri wameshinda tena kwa kishindo kikubwa baada ya Mh. mpambanaji katika ujangiri Hamis Kagasheki kujiuzuru nafasi yake ya waziri wa maliasili na utalii. Shinikizo la kujiuzuru huyu mpambanaji naamini limeratibiwa kwa utalaam wa hali juu nje na ndani ya chama. Nilitegemea sana waziri mkuu atajiuzuru lakini akaishia kuwa MC wa kututajia wale ambao hatukutarajia. Ndugu zangu hivi ni kweli watu wasiozidi 75 bungeni ndio wanaweza kutuchangulia au kumwondoa waziri husika bila kutuuliza watanzania ambao ni zaidi ya milioni 40? Ndugu nawaomba kwa pamoja tuandae maandamano makubwa yasiyo na kikomo nchi nzima ya kumrejesha Kagasheki madarakani haraka iwezekanavyo la sivyo tutaendelea kuendeshwa kama gari mbovu na wagonga meza wa jengoni Dodoma. Nawasilisha.
 
na-support.

tulioko twitter tu-tweet kwa @jmkikwete tumuombe amrejeshe Kagasheki.

mie nimefanya hivo tayari masaa mawili yaliyopita, hii itasaidia hata wale walio mbali na dar kufikisha ujumbe, usisahau hashtag
#KagashekiArudishwe

mfano wa twee zangu kwa kikwete

1. @jmkikwete mpambanaji sana, pia hana kashfa za ufisadi #KagashekiArudishwe

2. nafikiri Kaghasheki ni kati ya mawaziri 5 bora kabisa ktk baraza la sasa, tumrejeshe tu @jmkikwete, kwa huyu, wananchi tutakuelewa

3.
Mheshimiwa Rais Kaghasheki alikua anafanya kazi kwa bidii sana, hii tokomeza ilikua nje ya uwezo wake @jmkikwete

kagasheki.png
 
Ndugu zangu kwa wale wazalendo wanaoheshimu na kuipenda Tanzania hakika mtakubaliana na mimi kuwa majangiri wameshinda tena kwa kishindo kikubwa baada ya Mh. mpambanaji katika ujangiri Hamis Kagasheki kujiuzuru nafasi yake ya waziri wa maliasili na utalii. Shinikizo la kujiuzuru huyu mpambanaji naamini limeratibiwa kwa utalaam wa hali juu nje na ndani ya chama. Nilitegemea sana waziri mkuu atajiuzuru lakini akaishia kuwa MC wa kututajia wale ambao hatukutarajia. Ndugu zangu hivi ni kweli watu wasiozidi 75 bungeni ndio wanaweza kutuchangulia au kumwondoa waziri husika bila kutuuliza watanzania ambao ni zaidi ya milioni 40? Ndugu nawaomba kwa pamoja tuandae maandamano makubwa yasiyo na kikomo nchi nzima ya kumrejesha Kagasheki madarakani haraka iwezekanavyo la sivyo tutaendelea kuendeshwa kama gari mbovu na wagonga meza wa jengoni Dodoma. Nawasilisha.
you must be having problems upstairs. Wananchi wameuwawa, kubakwa na kuteswa na operation iliyo chini ya wizara yake halafu unakuja hapa kumtetea. Hivi hao wananchi walioteswa wangekuwa ndugu zako ungekuja kutema pumba hapa?
 
Ndugu zangu kwa wale wazalendo wanaoheshimu na kuipenda Tanzania hakika mtakubaliana na mimi kuwa majangiri wameshinda tena kwa kishindo kikubwa baada ya Mh. mpambanaji katika ujangiri Hamis Kagasheki kujiuzuru nafasi yake ya waziri wa maliasili na utalii. Shinikizo la kujiuzuru huyu mpambanaji naamini limeratibiwa kwa utalaam wa hali juu nje na ndani ya chama. Nilitegemea sana waziri mkuu atajiuzuru lakini akaishia kuwa MC wa kututajia wale ambao hatukutarajia. Ndugu zangu hivi ni kweli watu wasiozidi 75 bungeni ndio wanaweza kutuchangulia au kumwondoa waziri husika bila kutuuliza watanzania ambao ni zaidi ya milioni 40? Ndugu nawaomba kwa pamoja tuandae maandamano makubwa yasiyo na kikomo nchi nzima ya kumrejesha Kagasheki madarakani haraka iwezekanavyo la sivyo tutaendelea kuendeshwa kama gari mbovu na wagonga meza wa jengoni Dodoma. Nawasilisha.

acha ukabila,kuna wenye uwezo kumzidi,bado yule mama nae kashindwa kuwangoa wavamizi....wahaya uwezo wa kuongoza hawana zaidi ya kufanya showwoff zisizo na tija kwa watanzania,bado mawaziri wenye tija ni wanyakyusa(mwakiembe,mwandosya),wamasai(sokoine,lowasa),wachaga(mrema),wasukuma(magufuli,kahama) wengine majungu
 
you must be having problems upstairs. Wananchi wameuwawa, kubakwa na kuteswa na operation iliyo chini ya wizara yake halafu unakuja hapa kumtetea. Hivi hao wananchi walioteswa wangekuwa ndugu zako ungekuja kutema pumba hapa?


hujasikiliza wewe.

hata report ya kamati haikumu-implicate kagasheki kwenye upuuzi uliotokana na tokomeza, execution ilitolewa kabisa mikononi mwake, Kagasheki alipambana sana
 
Kajiuzulu kwa Political Accountability sio Rushwa au Wizi, hili ni ushindi. Serikal ijayo ya 2015 inamhusu arudi zake Geneva kukata Baga!
 
Are u kiddin me? Kama wewe ndiye uliyemchagua in the first place kaandamane!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
unachanganya madesa kwenye hoja yako, hakuna mbunge aliemtoa waziri yoyote jana na hata hvyo wabunge hawanamamlaka ya kumtoa waziri na hata wangekuwa nayo na wakafanya hvyo bado wanamamlaka kama wawakilishi wetu. Kagasheki alijiuzulu, unaelewa maana ya kujiuzulu?
 
Atateuliwa wizara nyingine kagasheki ni mzalendo kuliko mbowe, babu wa kanisa na masalia yao.
 
Ninaomba kwa umoja wetu tupeleke tweet kwa Rais wetu, twitter handle yake ni ..@jmkikwete na usisahau hashtag #KagashekiArudishwe

hii ni kwa sababu naamini kwamba kagasheki ni moja ya mawaziri 5 bora kwa sasa, na kwa hili najua siko peke yangu.

Kwa wale waliofatilia Bunge jana, na waliosoma ile report kwa ukamilifu wake watagundua tatizo la operesheni tokomeza lilikua kagasheki kuwa side lined wakati wa execution, hata ile plan ya mwisho ya opersheni hakupewa.

Wakati ninaamini Nchimbi na Nahodha ilikua sahihi kabisa kwa wao kustep down au kufukuzwa (vyovyote ilivyotokea) kwa kagasheki na labda mathayo david mathayo haikua fair.

Pamoja na kwamba ninahisi mathayo hakuhusika kabisa na hii operation tokomeza, sijaona utendaji wake kiasi nitamani tupigane arudi, kagasheki kazi yake imeonekana, anahitaji kuiendeleza
 
Pokea pongezi huko huko uliko kwa uwezo wa kuona ipi pumba na upi mchele.

Naamini siku moja Kagasheki atarudi katika nafasi kubwa zaidi ya kisiasa kwa kazi nzuri aliyokuwa anaifanya kama waziri.
Hili ni tatizo la kuwa na wabunge majangili
 
Back
Top Bottom