100% Balali, hayupo Boston kwa hiyo hii artcile ni doomed kabla hata haijaanza, licha ya kuisha, aache ujinga wa kitoto arudi bongo na kujibu mashitaka, hayo maneno yake tumechoka nayo,
Siku zote alipokuwa bongo alikuwa akiongea yeye mwenyewe, sasa all over sudden anaongelewa na wengine, WHY? Arudi aongelee wizi wake kwanza asilete maneno ya wengine, hayo ya wengine atuachie wenyewe wananchi tutaamua, lakini fisadi kama yeye hawezi kutuamulia sisi wananchi what to do!
Arudi na kubeba msalaba wake kwanza!
Mkuu IO,
Heshima mbele mkuu, sijakuona siku nyingi ila ninakumbuka mara ya mwisho ulikuwa unampa big support Tafiti Then Jadili (TTJ) sikuji aliishia wapi,
anyways, nafikiri kama unafuatilia kwa makini hiii mijadala tumeanza na Mama Meghji, baada tu ya kugundua kuwa alihusika na ku-support barua ya ulaji ilioandikwa na Balali, na since then tumekuwa tukilia na hawa wawili unajua ni kwa nini? Ni kwa sababu so far tuna a hard evidence kuwa walishiriki kwenye ufisadi, including Mgonja, na Mramba, wote tumekuwa tukiwapiga mawe sawa sawa,
Mawe ya Balali, (sitaki kuamini kuwa wewe ni Jasusi), ni kwamba Balali amejiongezea mzigo mzito kuhusiana na tuhuma dhidi yake kwa mambo aliyoyafanya mwishoni kuaniza kusaifiri nje, na mpaka kufikia kuandika barua ya kujiuzulu akiwa nje ya nchi, wenziwe owte wako bongo hawajakimbia, yeye peke yake ndiye aliyekimbia, mara anaumwa, hataki kuongea na mtu, sasa imekuwa hadithi nyingi mno kuhusiana na yeye tu huku wnegine hawasemwi, ni kwa sababu alijitafutia mwenyewe hiii attention, sasa nyinyi apologists wake msimlaumu mtu ila mlaumuni Balali mwenyewe kwa kujiletea unwanted attention ambayo inafikia mahalai hata wengine waliohusika hawatajwi ila yeye tu, ndio maana tunasema arudi nyumbani ajibu tuhuma dhidi yake ambazo tayari zipo, sasa kwenye kujibu ndio atatuambia nani alimtuma na nani hakumtuma, uamuzi wa kama anayosema ni kweli au sio kweli ni wa kwetu wananchi sio nyinyi mnaomtetea,
Naifikiri unaijua bongo vyema na kwamba msema kweli ni mpenzi wa Mungu, wananchi tutaamua kulingana na tunayosikia kutoka kwa viongozi wetu waliohusika, lakini tunahitaji kusikia Balali's side now, maana wanamtuhumu wameshasema, until atakapoongea yaani Balali, sisi wananchi tutaendelea kumkoma nyani based on evidence at hand ambayo tunayo tayari, inayoonyesha kuwa Balali, alichota na kumuomba Mama Meghji, amsaidie na uchunguzi, nothing personal against Balali, wale wote mnaomtetea naomba mtuelewe kwamba sisi ni wananchi acting on information already at hand!
Hatuwezi kua-act on information ambayo hatuna lakini mnayo nyinyi tu mnaomtetea tu, hapana tutaendelea kumkoma nyani tu mpaka giladi!
Field Marshal, hivi unaamini kuwa "Balali alichota na kumuomba Mama Meghji amsaidie"!? Please go and read the chronicle of events; we should not be relying on metaphysics and superstition! Hebu niambie hapa ni lipi unaloamini, yote haya tumeyasoma JF:
1. Balali aliitwa dodoma, kuulizwa maswali ambayo angeulizwa akiwa dar.
2. Things in Dodoma were too secretive
3. He had severe abdominal pains
4. He left for South Africa, then for Boston for treatment
5. He was in a comma
6. He couldn't speak
7. RO visited him and came back anouncing that our beloved Mnyalu will not escape death; it will be god miracles for him to wake up!
8. Balali submits a letter of resignation
8. I woke in the morning reading that, Mr. Balali is sacked and simulteneously in another thread our beloved daudi is dead!
What is cooking on? Clarify what is not true of the above? That is why I wudn't believe that our "principal" culprit is balali; somebody who is hiding that E&Y report is a chief culprit.
Field Marshall believe me, kama Balali alibenefit from these transactions, then lazima alipe adhabu, but at this stage is too early to know if he benefited.
Regarding the sacking and the situation now; naamini kuwa Rais aliyepo madarakani hana "guts" kwa sababu siyo clean; zile pesa zilitumika kumweka madarakani!
If he has guts, in the first place, when he had already sacked the govornor he cud move fast in authorising the arrest of the rest; you know who are those? The Meremeta Chairman (a heavy weight), the guy who authorised the Alex Stwart deal (mention him); the Directors of those companies!!
Mr Mwanyika when asked of what action is going to take, he said, HE IS LOOKING FOR WHICH LAW TO BE APPLIED TO IMPLICATE THE CULPRITS! the guys are happy and we are attacking balali!! Our system is unique, and believe me in our generation this will not change until you young people become serious on defining your destiny!!!!!
Malala Hoi Mungu Si Wa Balali. Pdidy....wala Wa Mwanakijiji,,,
Niliomba Wapendwa Tujaribu Kufunga Siku Mungu Atajibu Mamombi Yetu Na Hivi Ndivyo Anavyoanza Na Amin Usiamin Uwe Msilamu Mkristo Mpagani Tuzidi Kusali Mambo Yanakuja Mengi Tu,,kuna Vigogo Wengine Watangaza Nao Walilazimishwa Kusign Kama Mama M.....na Wengineo Na Ndipo Watakapomtaja The Real One,,,
Ushindi Lazima