Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,562
- 3,559
Endelea utatukanwa, subiriWoouh...!! Dada kanifanyia "SUPRISE" kwa kuniletea bia BALIMI yenye ujazo 500 ml na 5.8 alc........nikiwa Dsm......
Hii ni bonge la ***a toka kule kanda ya ziwa.....bei 1500 ....kwa heri safari 2016....karibu BALIMI 2017....View attachment 452166
Kama bei 1,500/= ni sahihi kubana matumiziWoouh...!! Dada kanifanyia "SUPRISE" kwa kuniletea bia BALIMI yenye ujazo 500 ml na 5.8 alc........nikiwa Dsm......
Hii ni bonge la ***a toka kule kanda ya ziwa.....bei 1500 ....kwa heri safari 2016....karibu BALIMI 2017....View attachment 452166
Ni zamu ya kanda ya nyonyo kutesa,yani mpaka kwenye bia.Endelea utatukanwa, subiri
Atii?!??! Kama umikula nini tena?Watu tunapo isoma namba, naona visingizio vinaongezeka tu.....
By the way, niliwahi kuinywa sikumoja. Asubuhi niliamka nikiwa sina mning'inio, lakini mdomo ulikua unaninuka utadhani nilikula haja kubwa
4000 inayobaki nyingi usawa huu.Bei 1500 alc 5.8 bia nyingine 2500 the upper with 5.5 alc.....binafsi nimerudi kwenye ratio ya 4 kwa 6000 mbadala wa 4 kwa 10000....amazing...economically...!!