Kiukweli IPO vizuri ni bia ya kiume ila usipokula utaaibika huku mbeya watu wanazinywa ila in buku mbili popote uendapo ila tumemiss safari ndogo alimaharufu mwendokasi
Bei 1500 alc 5.8 bia nyingine 2500 the upper with 5.5 alc.....binafsi nimerudi kwenye ratio ya 4 kwa 6000 mbadala wa 4 kwa 10000....amazing...economically...!!
Bei 1500 alc 5.8 bia nyingine 2500 the upper with 5.5 alc.....binafsi nimerudi kwenye ratio ya 4 kwa 6000 mbadala wa 4 kwa 10000....amazing...economically...!!
Watu tunalalamika ugumu wa maisha usawa huu, nyie mnakuja na mambo ya kumsifia 'Pombe'! au kwa sababu anatokea kanda yenu? miye sina hamu kabisa na huyo mtu.