Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
Ni mchezaji mpumbavu pekee anaweza kuondoka timu inayoshiriki klabu bingwa na akaenda kuchezea kombe la mbuziBaleke yupo kwenye kiwango bora sana, lakini kwa mifumo ya Nabi pale Yanga hachezi!
Chama mwenyewe chini ya Nabi ananzia benchi. Ni inonga tu, anaweza kuingia kwenye kikosi cha Nabi moja kwa moja, kwa nature ya uchezaji wake.
View attachment 2580741
Hii ilikuwa faulo,kama hujaangalia bolu kijana....We sema kweli!! View attachment 2581079
Tafuta mume uolewe nyege nyingiHiyo sijui wenye akili wawili TU utopoloni tayari imechacha masimba tatu mzuka fc tafuteni msemo mwingine wa kujifariji, kombe hamna, kocha hamna, wachezaji wazee kina Onyango pesa hamna! Mmebaki matusi na kelele tu!
tarehe 16 April kama Kawa tutawabutua na Wydad mnapigwa nje ndani tatu mzuka Kwa mara ingine!
Hivi kwasasa Makolo fc mna kipi Cha kujivunia mnacheza klabu bingwa wakati hata kombe la ubingwa wa ndondo cup hamna!!
Pole sana mikia fc wote!