and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Tunawasihi Baraza Kuu BAKWATA litoe tamko yanayoendelea Iran na nn kifanyike baada ndugu zetu wanauawa kama kuku.
Irani lipo baraza kuu litatoa tamko huko huko usiwe na wasiwasi.Tunakutana Baraza Kuu litoe tamko yanayoendelea Iran na nn kifanyike baada ndugu zetu wanalipwa kama kuku.
kabla ya 1979 IRAN na ISAEL walikuwa marafiki sana .yule mshenzi Ayatollah ndiyo kikwazo cha amani ASIA ya katiTunawasihi Baraza Kuu BAKWATA litoe tamko yanayoendelea Iran na nn kifanyike baada ndugu zetu wanalipwa kama kuku.