BAKWATA na Mauaji Arusha

Kama polisi ni zaidi hapa nchini sasa tutajuana huku uraiani.

Polisi na ndugu zao wote hatutawapa ushirikiano tena huku uraiani popote pale, hatutafanya biashara yoyote na nyie na hata ukilazimisha lifti kwenye gari yangu kuna uwezekano mkubwa nikabamiza gari langu mwenyewe kwa upande uliko ili ufe sawa na raia wenzetu mliowaua kiunyama Arusha.

Tangu sasa polisi hata kama ni ndugu yangu toka nitoke tusijuane na mtoto wangu yeyote atakayejiunga na jeshi hili alaaniwe na afe mara moja hata kabla hajamaliza mafunzo hayo.
 
acha ujinga au ficha uppuzi wako usije ukadharaulika, ni dini gani isiyokemea mauaji? angekuwa ni slaa anatawala halafu mauaji kama arusha yalitokea kanisa lingekaa kimyaa?, labda nikukumbushe robert gabriel mugabe ni mkatoliki pure, lakini yeye na kanisa katoliki ni mwiba, kwa kuwa ni jambazi la kisiasa, nenda kasome kuhusu arch bishop ncube na mugabe. kanisa lina support tsavanigai ambaye hata dini yake haijulikani simply tu anatenda haki. sasa watu wenye akili fupi kama wewe tayari unaanza kuyatazama mauaji ya arusha kwa jicho la udini. watu kama nyie ingekuwa enzi za makaburu mlikuwa mnafungiwa magurudume shingoni halafu mnachomwa moto. shame on you
 
 

Wewe ndio mpuuzi kwa sababu hakuna asiyekemea mauaji, na issue sio kukemea mauaji kama utavyotaka kuipindisha. Walichofanya Maaskofu sio kukemea mauji tu, wameingia katika siasa na hilo halipingiki. Sasa kama wewe ni kipofu kwa sababu ya imani yako siwezi kukusaidia, lakini mwenye kuona ataona hilo nililosema hapo juu..
 
Kwa wakristo kutomtka Kikwete, nadhani lina ukweli ndani yake. Tazama hata humu JF, ni wakristo wangapi wanomponda Kikwete ingawa ni wazi kabisa kuwa Kikiwete ni kiongozi mzuri, mchapa kazi na ameifikisha mbali Tanzania katika miaka hii mitano.
 

baada ya umoja wa viongozi wa dini ya kikristo, kutoa tamko la kutomtambua Meya ya jiji hilo kwa tiketi ya CCM, Gaudence Lyimo.
 
Tatizo lingine kubwa ni maaskofu kuingilia siasa, na hii inaonyesha wazi kabisa na haipingiki. Wao, siasa ya nini?
 
wewe ni muislamu?
 

Mkiambiwa ukweli mnang'aka na kuhamaki hii inaonyesha ni vipi mlivyo.
 
Viongozi wa dini wana haki ya kutoa matamko pale wanapoona inabidi, ila wanatakiwa wayatoe kwa utashi na uhuru wao. Lakini kama wanayatoa kwa maelekezo ya wanasiasa, hapo kuna tatizo na ni ujinga! Hawatakiwi kufuata tu upepo bila kujua unaelekea wapi!
 
Kwa wakristo kutomtka Kikwete, nadhani lina ukweli ndani yake. Tazama hata humu JF, ni wakristo wangapi wanomponda Kikwete ingawa ni wazi kabisa kuwa Kikiwete ni kiongozi mzuri, mchapa kazi na ameifikisha mbali Tanzania katika miaka hii mitano.

hapo kwenye nyekundu umenivunja moyo sana Great thinker Zomba,
Hivi wakristo wa humu JF unawajuaje au unaposoma comments za mtu anapompinga JK basi wewe moja kwa moja una mjudge kama ni Mkristo?
 
Hao viongozi wa hiyo dini wote wakuja tuu! (VYASAKA) watatumiwa sikuzote na hao punguani.
 

Udini ni kichaka cha kuficha udhaifu wote. Jk analaumiwa kutokana na kushindwa kuongoza nchi. Hachukiwi kwa sababu ya uislam wake.
 
hapo kwenye nyekundu umenivunja moyo sana Great thinker Zomba,
Hivi wakristo wa humu JF unawajuaje au unaposoma comments za mtu anapompinga JK basi wewe moja kwa moja una mjudge kama ni Mkristo?

Chuwa hazijifichi kwenye mchele.
 
Hivi misikiti inapata wapi pesa za kuendesha shughuli zake ?
 
Udini ni kichaka cha kuficha udhaifu wote. Jk analaumiwa kutokana na kushindwa kuongoza nchi. Hachukiwi kwa sababu ya uislam wake.

Hapo ndipo patamu, nionyeshe moja tu aliloshindwa Kikwete, tulijadili halafu turukie lingine, nnakuhakikishia huna.
 

labda mie sielewi haya
1. Kwanini viongozi wa dini wakikosoa selikari ndipo hoja za kufanya mambo yasiyo wahusu huja? wakiipongeza hakuna maneno kabisa.
2.Kiongozi huwa na mipaka? yaani viongozi wa dini hawaruhusiwi kukosoa mfumo wa selikari yao? angalau viongozi hao wangekuwa wazungu na wanakosoa selikari ya tanzania hapo shida ingekuwepo, lakini nao ni watanzania na wanapiga na wanaweza kupigiwa kura.
3.Kwanini waislamu walaani kauli ya viongozi wenzao na sio tatizo? tatizo ni uchaguzi wa meya wa Arusha na sio kingine je waislaamu wanatuambia nini kwa mchakato wa kumpata meya ?Au kwakuwa ni wa CCM basi hapo hakuna shida?
4. Viongozi wa dini hawapaswi kuielimisha jamii?
 
While the reality is any religion in a way promote good in a society, however if not careful it can promote division
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…