BAKWATA na Mauaji Arusha

Hivi Bakwata waliwahi kuiomba msamaha jamii ya watanzania kwa kiendo cha Fupi na wenzake kulipua ubalozi wa Marekani? Au waliokufa na kujeruhiwa hawakuwa watanzania au watu? Mnaona how ridiculous hii blame game inavyoweza kuwa?

Amandla......

Out of point ndugu! Wale walioenda kulipua ubalozi wa marekani sio kama waliouwawa na serikali. Tunachokilaani ni kitendo cha serikali kutumia nguvu dhidi ya rai wake wenyewe badala ya kuwaacha wazungumze wanalolitaka au kuandamana. Huna point hapo jibu swali ndugu otherwise huu mjadala ufungeni msiwafatefate bakwata, uamsho, shura ya maimamu na wengineo wako BUSY!!!!
 
Hivi Bakwata waliwahi kuiomba msamaha jamii ya watanzania kwa kiendo cha Fupi na wenzake kulipua ubalozi wa Marekani? Au waliokufa na kujeruhiwa hawakuwa watanzania au watu? Mnaona how ridiculous hii blame game inavyoweza kuwa?

Amandla......

Umepiga Ikulu bro! Chukua tano!
 
Hujajibu swali ndugu kama umekasirika sina jinsi ya kukusaidia. Jibu swali langu do you think yule paroko wa kanisa katoliki tamko lake alolitoa wakati ule wa mwembechai kwanini kanisa lisitoe tamko la kuomba radhi!!!!

Sijakasirika. Nimekujibu lakini naona hautaki kunielewa. Jibu ni kuwa yule paroko hakutoa tamko kama mwakilishi wa kanisa katoliki kwa hiyo hamna sababu ya kanisa kuomba radhi.

Amandla.......
 
Wakati mwingine inasikitisha sana kuona ni jinsi gani hisia za kidini zinavyopofua watu katika jamii na kuleta mfarakano usio kuwa na msingi.

Rungu,

sio hisia za kidini ni kukosekana uadilifu na unafiki hata wewe kama ni baba au mama ukiwa na double standard kwa watoto wako lazima watakuwa wanagombana tu. Wameuwawa waislamu mwembechai hakuna kanisa lililolaani, wameuwawa pemba hivyo hivyo leo utasemaje unawataka Bakwata watoe tamko Arusha si kutafuta ugomvi???
 
Nani alikuambia maandamano ya mwembechai yalikuwa ya kiroho? Nyie ndio mnafikra mgando mkuki ukikuchomeni mnataka kila mtanzania awaunge mkono ila ukiwachoma waislamu mnasema serikali imefanya vizuri sana. This era my friend hakuna mjinga stop whinning my friend katika hili muache kila mtu na mtazamo wake.

Hebu gonga hapa www.ealawsociety.org/Joomla/UserFiles/File/Rubanza_Edited.pdf , kisha urudi kusahihisha kauli yako ndugu....ukiendeleza ubishi sitashangaa,ni kawaida yetu na kila mtu anaelewa...
 
Sijakasirika. Nimekujibu lakini naona hautaki kunielewa. Jibu ni kuwa yule paroko hakutoa tamko kama mwakilishi wa kanisa katoliki kwa hiyo hamna sababu ya kanisa kuomba radhi.

Amandla.......

Basi haina haja ya Bakwata kutoa tamko marekani wala arusha maana wale ni watu wanamisimamo yao na hivyo hawawakilishi jumuiya ya waislamu as simple as that.
 
Rungu,

sio hisia za kidini ni kukosekana uadilifu na unafiki hata wewe kama ni baba au mama ukiwa na double standard kwa watoto wako lazima watakuwa wanagombana tu. Wameuwawa waislamu mwembechai hakuna kanisa lililolaani, wameuwawa pemba hivyo hivyo leo utasemaje unawataka Bakwata watoe tamko Arusha si kutafuta ugomvi???

Kutotoa tamko haimaanishi kwamba na BAKWATA wasitoe ndugu, ni mjinga tu ndio atang'ang'ania kupita njia yenye mashimo eti kwa vile mwenzake katangulia....hivi Mwinyi akiwa rais, alikua pia anafanya double standards?? Au awamu ya 4 ndio inasahihisha hizo double standards?? Unataka kuniambia kwamba Waislam wa siku hizi (JK mmojawapo) si kama wa zamani, kwa lipi ndugu??
 
Out of point ndugu! Wale walioenda kulipua ubalozi wa marekani sio kama waliouwawa na serikali. Tunachokilaani ni kitendo cha serikali kutumia nguvu dhidi ya rai wake wenyewe badala ya kuwaacha wazungumze wanalolitaka au kuandamana. Huna point hapo jibu swali ndugu otherwise huu mjadala ufungeni msiwafatefate bakwata, uamsho, shura ya maimamu na wengineo wako BUSY!!!!

Kwa hiyo kwa vile waliuliwa na Al Qaeda roho zao hazina maana? Tatizo lako wewe ni watu kuuliwa na unachoita serikali yako tu? Sas mbona unataka tufunge mjadala mapema wakati ndio umeanza tu?

Amandla......
 
Asante sana umenisaidia kusema tunawajua Chadema na ajenda ya Kanisa Katoliki ni kuona anakaa katika kiti cha urais mkristo ila hawatudanganyi tutabanana hapa hapa. Wanaotaka tamko la Bakwata hawajatosheka tu na tamko la paroko wao tu wa Kanisa Katoliki Arusha. Sasa mnatufata nini waislamu kutoa Tamko? Niwaulize Kanisa Katoliki lilitoa tamko pale MWEMBECHAI!!!!!
Halafu kwenye orodha ya waliouwawa inaanzia na Muislamu! Shame on some of CHADEMAs
 
Basi haina haja ya Bakwata kutoa tamko marekani wala arusha maana wale ni watu wanamisimamo yao na hivyo hawawakilishi jumuiya ya waislamu as simple as that.

Sasa si ndio hiki ndicho nilichokisema tangu awa?i. Wala hamkuwa na haja ya kuingiza kanisa Katoliki na Mwembechai.

Amandla....
 
Hebu gonga hapa www.ealawsociety.org/Joomla/UserFiles/File/Rubanza_Edited.pdf , kisha urudi kusahihisha kauli yako ndugu....ukiendeleza ubishi sitashangaa,ni kawaida yetu na kila mtu anaelewa...

Mie sio nakurupuka tu kama unavyojifikirisha niko makini kwanza nakushauri utafute mafile vizuri pale UDSM uyasome kuhusu mwembechai. Pia namnukuu mwandishi wako mwenyewe maana naona upofu wa kiroho umekukumba:-

Huyu jamaa yako anasema hivi:-

Causes of the Mwembechai crisis can be divided into long term and
immediate causes.18

Long term causes
�� Discrimination against Muslim in matters pertaining to
education and employment.
�� Obstruction as regards joining an international organizations
especially the Organization of Islamic Conference (OIC).
�� The presence of a large number of Muslim ‘loiteres' and
‘criminals' in prisons.
�� The use of excessive forces against Muslim by the police.
�� Refusal of bail in courts of law.
�� Refusal to allow the wearing of Islamic dress in schools and
public offices.
�� General favouritism towards Christians.
�� Denial of the right to form Muslim autonomous organizations
besides BAKWATA.
�� Refusal by government to set up kadhi courts.
�� Non-recognition (and concomitant reward) of the fact that it is
Muslims who overwhelmingly struggled for independence.
�� Distortion of the real number of Muslims in Tanzania which is
claimed to overwhelmingly constituting the majority.
�� Allowing operation of pork butcheries in areas which are heavily
populated by Muslims.
18 Rubanza and Tambila (20012), Muslims Vs State: The Mwembechai Conflict. A paper presented at
Diamond Jubilee Hall, DSM, 26th – 28th November, 2001.
16
�� Not allowing Muslims in public offices to attend hours of
prayers on Fridays.
�� Prohibition of public comparative preaching.

IMMEDIATE CAUSES
There are immediate causes of the Mwembechai crisis which to
crop out seem from the chronology of events:
(1) The act of ignoring the government ban on public derisory
and ridiculing comparative preaching on the part of some
Muslim groups and the subsequent operation by the police
to arrest the leaders and some members of these groups.
(2) The deep-seated anger of Christians due to their holy book,
the Bible and the basic teachings and beliefs of their religion
being ridiculed and they themselves being ridiculed leading
to an appeal to have public comparative preaching stopped.
(3) The anger of Muslim against Christians who were seen as
being favoured by the state.


Find another fool and not me ndugu.
 
Halafu kwenye orodha ya waliouwawa inaanzia na Muislamu! Shame on some of CHADEMAs

karibu kwenye mjadala, n-g-e-k-e-w-a, herufi saba hizo, naamini nyota yako ipo salama,teh teh teh....orodha inawahusu nini CHADEMA???
 
Hukukipenda toka mwanzo. Na hautashambuliwa kwa sababu ni muislamu, utashambuliwa kwa kutoa hoja dhaifu. Kama haja yako ni kwenda mahali ambapo waislamu hawashambuliwi, hapa si pako. Kila mtu anashambuliwa bila kujali dini yao.

Amandla....
Dini zinafundisha kukubali ukweli na wewe ungekubali ukweli. Si ulinyamaza kimya hadi sasa?
 
Hawana cha kutoa tamko hao, kwanza ndio wanafurahi.... Hivi ujui kuwa imani yao ina jenga chuki wa krt na isitoshe waliokufu ni wafuhasi wa Cdm na sio CUF.
 
Sasa si ndio hiki ndicho nilichokisema tangu awa?i. Wala hamkuwa na haja ya kuingiza kanisa Katoliki na Mwembechai.

Amandla....

Na basi haina haja kwa Bakwata kutoa tamko sasa kwanini tunawalazimisha bakwata watoe tamko? Kwa hapa tuko pamoja tutoe tamko sisi watanzania na sio institution za kiroho. Na kwa mtazamo huo Bakwata,Uamsho, Shura waendelee na shughuli zao tu!!!
 
Mdau sio unyonge wa kifikra ila tu waislamu wa sasa sio wajinga kama wale wazamani hatufuati mkumbo kama walivyokuwa wazee wetu sasa hivi tunataka umakini wa jambo. Kama kanisa katoliki lilitaka ushirikiano kutoka kwa waislamu lingelianza kwanza kwa kuwaomba waislamu radhi kwa kutokemea mauaji ya mwembechai ndipo likalaani hayo ya arusha. But venginevyo ni UNAFIKI TU HUO NA HAKUNA MTU ATAKUUNGENI MKONO!!!!!
DUh!Hii Kiboko, Tanzania ni Arusha na Mwembechai tu kumbe kule Pemba siko?
 
DUh!Hii Kiboko, Tanzania ni Arusha na Mwembechai tu kumbe kule Pemba siko?

Ngekewa waliuwawa pemba na mwembechai kwa mitazamo ya baadhi ya watu JF ni sahihi ila kule Arusha ndio sio sahihi! Tanzania wakuu ni Tanzania Bara na Zanzibar. Kuna watanzania waislamu, wakristo, wabuddha, wapagani etc. Tusibaguane tu kwavile tunatofautiana imani hatufiki!!!!
 
Mie sio nakurupuka tu kama unavyojifikirisha niko makini kwanza nakushauri utafute mafile vizuri pale UDSM uyasome kuhusu mwembechai. Pia namnukuu mwandishi wako mwenyewe maana naona upofu wa kiroho umekukumba:-

Huyu jamaa yako anasema hivi:-

Causes of the Mwembechai crisis can be divided into long term and
immediate causes.18

Long term causes
�� Discrimination against Muslim in matters pertaining to
education and employment.
�� Obstruction as regards joining an international organizations
especially the Organization of Islamic Conference (OIC).
�� The presence of a large number of Muslim ‘loiteres' and
‘criminals' in prisons.
�� The use of excessive forces against Muslim by the police.
�� Refusal of bail in courts of law.
�� Refusal to allow the wearing of Islamic dress in schools and
public offices.
�� General favouritism towards Christians.
�� Denial of the right to form Muslim autonomous organizations
besides BAKWATA.
�� Refusal by government to set up kadhi courts.
�� Non-recognition (and concomitant reward) of the fact that it is
Muslims who overwhelmingly struggled for independence.
�� Distortion of the real number of Muslims in Tanzania which is
claimed to overwhelmingly constituting the majority.
�� Allowing operation of pork butcheries in areas which are heavily
populated by Muslims.
18 Rubanza and Tambila (20012), Muslims Vs State: The Mwembechai Conflict. A paper presented at
Diamond Jubilee Hall, DSM, 26th – 28th November, 2001.
16
�� Not allowing Muslims in public offices to attend hours of
prayers on Fridays.
�� Prohibition of public comparative preaching.

IMMEDIATE CAUSES
There are immediate causes of the Mwembechai crisis which to
crop out seem from the chronology of events:
(1) The act of ignoring the government ban on public derisory
and ridiculing comparative preaching on the part of some
Muslim groups and the subsequent operation by the police
to arrest the leaders and some members of these groups.
(2) The deep-seated anger of Christians due to their holy book,
the Bible and the basic teachings and beliefs of their religion
being ridiculed and they themselves being ridiculed leading
to an appeal to have public comparative preaching stopped.
(3) The anger of Muslim against Christians who were seen as
being favoured by the state.


Find another fool and not me ndugu.

I have found the fool, YOU!! Hiyo ni research imefanywa na msomi, katoa sababu, za muda mrefu na mfupi, SI ZAKE, kazitoa kwa WAISLAMU wenyewe!!...sasa je, wao (WAISLAM) waliwahi kufanya research ya UKWELI kuainisha hayo madai waliyotoa?? Au ni malalamiko tu, wakiacha watoto wao wakikomaa katika elimu Ahera, wakati watoto wa Kikristu wakisoma Elimu ya Duniani... Wakristo wanaendesha shule na taasisi za Elimu kibao, kwa mwenendo wa kulalamika tutafika? Tangu Mkapa katoa majengo ya TANESCO pale Moro, campus/colleges ngapi zimeongezwa?? Unafahamu Tumaini na St. Augustine wana college hadi Tabora na Mtwara, upande wa pili?? Tuache giza na malalamiko bila research/data, kama Waislam wa siku hizi si kama wa zamani, niletee takwimu hapa za discrimination, si hearsay tu!!!
 
Back
Top Bottom