BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
MOU bado upo mkuu.Na kwasasa wa2 wamesahau2.Je,wajua yaliyomo ndani ya MOU?
Kwa hiyo kama unakiri kuna MoU kati ya Church na Gvt, then motive ya tamko la maaskofu sio udini bali ni moral obligation, kitu ambacho BAKWATA wanakosa kwa sababu kila mara wanakuwa biased kidini.