EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,108
Partner mzima wewe, wajionaje na khali,sijui nimuitie partner wangu M'Jr amsaidie,
Ama baada ya hilo, nimekumiss ewe kigoli,
Nakutafuta hapa na pale, kote naona kufuli,
macho yamenitoka, kama nimepoteza nauli,
Nafurahi nimekuona, siku hii ya kwanza ya wiki,
Jua lawaka kwa ukali, upepo nao haushikiki,
Siku nazo zenda mbio, kila kona mikikimikiki,
Nafurahi nimekuona, kwenye kiwanja chetu hiki,