Bak upo wapi nikuone,roho yangu itulie?

Bak upo wapi nikuone,roho yangu itulie?

Hahahahaha lol! Nyie watu naona mnachombeza ile mbaya lol! mie sina mbavu kutokana na yaliyoandikwaka katika huu uzi. lol! Cutie Fixed Point hata wewe Mkuu!? Haya banaa dawa yako iko jikoni? Kongosho kwani ulidhani BAK ana uso wa dagaa!? 🙂🙂 snowhite dada yako ana pw siku nyingi tu mwambie akupe haraka sana 🙂🙂 Heavenonearth, very true it feels so good to be appreciated by fellow human beings, Pilot afrodenzi ahsante sana Mkuu
leo hii dadangu wa kuitwa mkuu!
sikubali!
ahahahhaha lakini ulianza kumwita cutie kwanza enh?
il sasa si unajua tonge la mwisho ndo linakomba mboga!


LAKINI saaaaasa?sasa!
mbona leo huweki tule tuwimbo!
NAULIZA TU!
 
Hehe watu wanatiririkaaaa!
BAK na mie nina shauku ya kukushukuru ila ntakuanzishia sredi utakapo save my life.

Mwezi mtukufu umetukuka kwako aisee lol
we chelewa chelewa hivo hivo!
ngoja wendhio watheme weeee usije kunililia mimi!

kwani kule kwenye nanii za umeme hatuwezi kumpeleka huyu ili tumpiku mleta sredi!we unajua mi ndo shosti yako wa kufa na kuzikana na siwezi acha uumie bana!
kama hongo za Boflo tunashare itakuwa mbinu za kutiririsha kwa bak?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha lol! Nyie watu naona mnachombeza ile mbaya lol! mie sina mbavu kutokana na yaliyoandikwaka katika huu uzi. lol! Cutie Fixed Point hata wewe Mkuu!? Haya banaa dawa yako iko jikoni? Kongosho kwani ulidhani BAK ana uso wa dagaa!? 🙂🙂 snowhite dada yako ana pw siku nyingi tu mwambie akupe haraka sana 🙂🙂 Heavenonearth, very true it feels so good to be appreciated by fellow human beings, Pilot afrodenzi ahsante sana Mkuu
usiniezie kesi handsome....
huyu snowhite huwa simwezi toto tundu, lol!
 
Last edited by a moderator:
leo hii dadangu wa kuitwa mkuu!
sikubali!
ahahahhaha lakini ulianza kumwita cutie kwanza enh?
il sasa si unajua tonge la mwisho ndo linakomba mboga!


LAKINI saaaaasa?sasa!
mbona leo huweki tule tuwimbo!
NAULIZA TU!
ha haaa, umeona anavyojichanganya?
hata hajui aanzie wapi ati
 
  • Thanks
Reactions: BAK
we chelewa chelewa hivo hivo!
ngoja wendhio watheme weeee usije kunililia mimi!

kwani kule kwenye nanii za umeme hatuwezi kumpeleka huyu ili tumpiku mleta sredi!we unajua mi ndo shosti yako wa kufa na kuzikana na siwezi acha uumie bana!
kama hongo za Boflo tunashare itakuwa mbinu za kutiririsha kwa bak?
ha haaa, hata mimi nitamsaidia mistari shostito King'asti, aanzishe tu lisreadi wapambe tupoooooo, hadi kieleweke
 
Sweets for my sweet, Sugar for my honey

 
Last edited by a moderator:
Leo swaumu imenikalia vibaya na hadi sasa sijapata mwaliko wa futari. Ila ngoja nivute pumzi nitawahi tu. Hamna awali mbovu shosti hehehe. Nimekumisije yale mashopping yetu. Hivi huyu BAK ni kakako ama shemegi? Hatuwezi kumchuna iddi manake mafungo yote mawazo yapo kwenye kiwaloooo
we chelewa chelewa hivo hivo!
ngoja wendhio watheme weeee usije kunililia mimi!

kwani kule kwenye nanii za umeme hatuwezi kumpeleka huyu ili tumpiku mleta sredi!we unajua mi ndo shosti yako wa kufa na kuzikana na siwezi acha uumie bana!
kama hongo za Boflo tunashare itakuwa mbinu za kutiririsha kwa bak?
 
Last edited by a moderator:
kumbuka mimi ndo dada mkubwa originale.....
wengine feki....
halafu kuna kitu nataka kukuuliza, muhimu sana sana
umenionea Kaunga siku ya leo? mwambie namtafuta saana

Nipo mdogo wangu, ingawa robo robo maana vibosile wametuvamia si pole pole yaani.
 
Hahahahaha lol! Nyie watu naona mnachombeza ile mbaya lol! mie sina mbavu kutokana na yaliyoandikwaka katika huu uzi. Nyani Ngabu, Gaijin, mwekundu, VUVUZELA, Mbwiga_Plus, Mrembo by Nature, HorsePower, Baba V, watu8, sakute same, Toria, Chujio, Bujibuji, mnyawezi wa urambo, Kin'gasti ahsante sana Wakuu lol! 🙂🙂🙂lol! Cutie Fixed Point hata wewe Mkuu!? Haya banaa dawa yako iko jikoni? Kongosho kwani ulidhani BAK ana uso wa dagaa!? 🙂🙂 snowhite, dada yako ana pw siku nyingi tu mwambie akupe haraka sana 🙂🙂 Heaven on earth, very true it feels so good to be appreciated by fellow human beings, Pilot afrodenzi ahsante sana Mkuu ombi lako nimelisikia.


nakuona mkuu sio kapela mwenzetu tena ,ndo ushatoka hvyo
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom