Bak upo wapi nikuone,roho yangu itulie?

Bak upo wapi nikuone,roho yangu itulie?

mi natamanije kujua sasa!
kwani kumfanyia umbea teja mwendhio kubaya!?eti dada mkubwa BAK enh naombepo pasiswedi yako bana!
akikupa pasiwedi mi ntakuwa nasubiri umbea toka kwako, naamini hawezi kutupa pasiwedi wote wawili.....
komaa naye akupe ili na mimi nipate huo umbea
 
akikupa pasiwedi mi ntakuwa nasubiri umbea toka kwako, naamini hawezi kutupa pasiwedi wote wawili.....
komaa naye akupe ili na mimi nipate huo umbea

ah sa na we umesemaje tena kuwa ntakupamo huo umbea!
bak mwaya mi hata sitampa huo umbea
we dada mkubwa una wasiwasi gani!we tuliaakinipa mi nakuambimo nimekutamo nini!sasa mi nikikunyima nikampe nani?
we banish ban!
 
ah sa na we umesemaje tena kuwa ntakupamo huo umbea!
bak mwaya mi hata sitampa huo umbea
we dada mkubwa una wasiwasi gani!we tuliaakinipa mi nakuambimo nimekutamo nini!sasa mi nikikunyima nikampe nani?
we banish ban!
ha haa, mdomo ulikiponza kichwa... :tape:
afu wewe nimekuambia tukutane sehemu hujasikia?
tusilaumiane ujue
 
Waswahili wanasema mganga hajigangi

Ngoja nimshereheshee BAK maana mwenyewe hawezi kwa siku ya leo

"I knew I loved you before I met you
I think I dreamed you into life

 
Last edited by a moderator:
Waswahili wanasema mganga hajigangi

Ngoja nimshereheshee BAK maana mwenyewe hawezi kwa siku ya leo

"I knew I loved you before I met you
I think I dreamed you into life


bora umejitoleo kufanya hili....
maana hata mimi msaidizi wake aliyenifundisha hii kazi sijui imekuwaje mpaka sijaifanya hii kazi?
ngoja nijitafute asije akafikiria nimemwonea wivu, lol!
 
Last edited by a moderator:
BAK my salute as well. Ila umepotea sana jamvini hadi unatafutwa jameni? Stay stronger and healthier for JF!!! Ha ha ha!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
watu weeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeh! BAK KAKUJAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Waswahili wanasema mganga hajigangi

Ngoja nimshereheshee BAK maana mwenyewe hawezi kwa siku ya leo

"I knew I loved you before I met you
I think I dreamed you into life

ahahahahaahah kwa hili na wewe ni LIFE SAVER asee!
umemsavuje bak leo!
ehehehehheh
 
Last edited by a moderator:
kumbuka mimi ndo dada mkubwa originale.....
wengine feki....
halafu kuna kitu nataka kukuuliza, muhimu sana sana
umenionea Kaunga siku ya leo? mwambie namtafuta saana
nikuje kule! Kaunga bana anamsalandia shem wangu Mkirua sasa nahis atakuwa anamtumiemo maverse ka moja ka moja!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha lol! Nyie watu naona mnachombeza ile mbaya lol! mie sina mbavu kutokana na yaliyoandikwaka katika huu uzi. Nyani Ngabu, Gaijin, mwekundu, VUVUZELA, Mbwiga_Plus, Mrembo by Nature, HorsePower, Baba V, watu8, sakute same, Toria, Chujio, Bujibuji, mnyawezi wa urambo, Kin'gasti ahsante sana Wakuu lol! 🙂🙂🙂lol! Cutie Fixed Point hata wewe Mkuu!? Haya banaa dawa yako iko jikoni? Kongosho kwani ulidhani BAK ana uso wa dagaa!? 🙂🙂 snowhite, dada yako ana pw siku nyingi tu mwambie akupe haraka sana 🙂🙂 Heaven on earth, very true it feels so good to be appreciated by fellow human beings, Pilot afrodenzi ahsante sana Mkuu ombi lako nimelisikia.

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom