Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
MWK Nimeanzisha thread ya kuomba msaada kutoka kwa viongozi wetu wa dini kwani TAIFA LA MUNGU LINAELEKEA KUANGAMIA!
Ni watu wasio na uwezo wa kufikiri ndio wanaweka matumaini yao kwa binadamu wenzao (viongozi wa dini). Mimi naamini watanzania wanaweza kufanya kazi zao bila kuongozwa na muingilio wowote wa viongozi wa dini.
Katika hili mkuu, endelea tu lakini mimi sina imani na viongozi wa dini ila nina imani kwa MUNGU. Viongozi wa dini ni kama binadamu yeyote na wengi wao ni mafisadi tu.