Ukiweka bank kuna faida gani?Mkuu ukweli sijaongea nao maana baada ya calculation naona kama hamna faida ya maana, sijafikia bado kiwango cha kuwekeza nikapata faida ya kueleweka
Sina ndiyoUkiweka bank kuna faida gani?
Hela zote unakula? Huna unasosave?
Nimependa hiiKwa huo mshahara kwangu Mimi ninge budget ifuatavyo;
-Nauli kama ni mbali na kazini ningehakikisha gari moja to office - 50,000/=
- Chakula - 150,000/= ningependelea kupika geto kama ni wali nakula usiku na asubuhi nanywea chai.
- Pango isizidi 50,000/=
- Mengineyo - 50,000/=
Savings UTT - 100,000/=
Hapo lazima uzingatie yafuatayo
.Ujikane nafsi
. Chunga tamaa mbaya
.Usikatishwe tamaa
. Focus
Ndani ya miaka mitano mkuu utakuwa mbali. Kila la heri mkuu
1. Eneo la sadaka ni kwa kadri unavyoamini na ufahamu ulionaoHiyo 40000 ya sadaka ungetoa hapo, watu wanaotakiwa kutoa sadaka ni wale wenye surplus kwenye vipato vyao.
Hapo kwenye sadaka umenikoshaUkiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
1. Badilisha routine yakoMmmh kumbe nachezea hela
Kitu sijui ni kujinyima labda niwe sina hela
Nifundisheni ubahili please
🤣🤣🤣Laki nne ni ndogo sana Kodi tu 400k 🤣🤣
Dogo jibane wewe! 😂😂😂😂Hiyo 80 unakula nini sasa hata kama bachela
Kwa maana hiyo watu wote walioko Dar wanakipato zaidi ya 400k kwa mwezi ?Laki nne ni ndogo sana Kodi tu 400k
Ili unikimbieDogo jibane wewe! 😂😂😂😂
Nunua sado ya dagaa na ndoo ya unga. Kula ugali hadi upauke.
ukitaka kua bahiri itatakiwa kuwa na malengo sawa na umri wako nyuma 2 times ya ulipoMmmh kumbe nachezea hela
Kitu sijui ni kujinyima labda niwe sina hela
Nifundisheni ubahili please
Kipindi nnaanza kazi nlikua natumia 50000 kwa mwezi😂Ili unikimbie
You are financially maturedukitaka kua bahiri itatakiwa kuwa na malengo sawa na umri wako nyuma 2 times ya ulipo
Kinyume na hapo utafeli
Hua nakua na hela hadi 5m akiba
Ila sikuwahi kuzitumia hata iwaje
Sijui ni kipaji au ndivyo nilivyo sielewi
Budget yangu ni 5000 per day
Kuna wakati nnapata 50k naziweka nazitama tu
Sina ile kiwehuwehu na hela.
Hebu niazime laki hii weekend imepwaya na vile huna haraka nayo June uipateukitaka kua bahiri itatakiwa kuwa na malengo sawa na umri wako nyuma 2 times ya ulipo
Kinyume na hapo utafeli
Hua nakua na hela hadi 5m akiba
Ila sikuwahi kuzitumia hata iwaje
Sijui ni kipaji au ndivyo nilivyo sielewi
Budget yangu ni 5000 per day
Kuna wakati nnapata 50k naziweka nazitama tu
Sina ile kiwehuwehu na hela.
Shida sio kukupaHebu niazime laki hii weekend imepwaya na vile huna haraka nayo June uipate
Acha waendelee kushindana na chupiYou are financially matured
Hizi hesabu zako labda kama unaishi Malinyi Ulanga 😂..ila kwa Dar thats a serious joke.Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Yan ulipwe 400k bado uongeze neno standard kwenye nyumba na selfHizi hesabu zako labda kama unaishi Malinyi Ulanga..ila kwa Dar thats a serious joke.
Hio location utakayochota laki 4 kuifikia na kurudi kwako kila siku sio chini ya TZS3,000 na hapo unajibana bana haswaa. Ukipiga hesabu thats 90K a month pamoja na dharura za siku usafiri ukiwa mgumu, ukiondoa na jumapili zako maana lazma utapigishwa mzigo hadi jumamosi.
Kuhusu kula kama bachelor hutakuwa unapika siku zote isipokuwa ile jumamosi ambayo unawahi kutoka kazini na njia nyeupe hukai foleni mda mrefu, gari sio za kugombania. Chakula standard 2000 ukila mchana na jioni tu pamoja na chai hio ni roughly 150K ukihesabia siku ambazo hupiki maana yake haitapungua zaidi ya 130K.
Utataka uishi nyumba standard yenye chumba self na sebule. The easiest you can afford ni 150,000 kwa location za kiande. Hapo ondoa wilaya ya Kinondoni kabisa kwenye akili yako.
Mpaka kufikia hapo laki 3 na 70 hunayo mkononi. Bado hujapigwa mzinga na ndugu jamaa na marafiki, hujaweka bundle kwenye simu yako. Hapo una 30K tu ya kufanya hayo yote. Mkiona watoto wakike wanapigwa pumbu pamoja na mishahara yao ya laki 4 msishangae sana.
Mzee Dalali wa Nyumba na Viwanja Kipato chake kwa mwezi Si mchezo...Kwa maana hiyo watu wote walioko Dar wanakipato zaidi ya 400k kwa mwezi ?