Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,699
- 6,315
Muhimu kumuabudu Mungu, haya mambo ya sadaka sio kweli... Ya kaisari ni ya kaisari, Mungu tumpe yaliyo ya kwake nako ni kumuabudu tu, si zaidi hapoMuhuni umemind
Muhimu kumuabudu Mungu, haya mambo ya sadaka sio kweli... Ya kaisari ni ya kaisari, Mungu tumpe yaliyo ya kwake nako ni kumuabudu tu, si zaidi hapoMuhuni umemind
Noma mshahara unaishia kwenye nauli/transportMi nilipata kazi kigamboni wakati naishi na familia ya mke na watoto wawili na mmoja anasom, chanika mwisho.. nilifanya miezi miwili nikaacha.. mshahara 450000..
At least 150kUnashauri ngapi mkuu maana mshahara muda huu ndo 400k
Fungua duka genge..hapo unapoishi..ukitoka kazini..unakaa hapo...kuendelea kupiga hela....Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Nimeanza kazi juzi tu na nalipwa hyo hyo..nahs mungu alikutumia unifundishe jambo..shukraniUkiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Mata 10KHivi kumbe UTT unaweza kuweka mpak 100k mi nilijua kuanzia 1m
Bhasi itabidi nianze kuweka aiseeMata 10K
Weka mkuu. Kama uko vizuri zaidi unaweza kuweka na bond fund ambayo ukiweka 10M kwa mwezi unachukua karibu 90k inayoongezeka kadiri unavyoweka. Muda wowote unaweza kuichukua.Bhasi itabidi nianze kuweka aisee
Itabidi niweke Sema ofisi zao ziko wapi??Weka mkuu. Kama uko vizuri zaidi unaweza kuweka na bond fund ambayo ukiweka 10M kwa mwezi unachukua karibu 90k inayoongezeka kadiri unavyoweka. Muda wowote unaweza kuichukua.
Ziko kila mkoa. Mwanza NSSF Building. Unaweza kuwacheki online. Huwa wanahudumia na kuelek3za vizuri sana na kwa lugha nyepesi.Itabidi niweke Sema ofisi zao ziko wapi??
Dar Hakuna?Ziko kila mkoa. Mwanza NSSF Building. Unaweza kuwacheki online. Huwa wanahudumia na kuelek3za vizuri sana na kwa lugha nyepesi.
Aaaah wapi? Huyu mwamba kasema yuko peke yake kwa nini apange Jumba zina la laki 4? Hapo mwamba kasaidia wengi watakaofuata ushauri wake. Ingawa amesahau pia msaada kwa watoto wa dada na kaka zake kule kijijini!Laki nne ni ndogo sana Kodi tu 400k 🤣🤣
Cheki Sukari houseDar Hakuna?
Arusha je?
Au ni Ofisi za Nssf?
Unga 5kg80000 mwez mzima unakula nn mkuu embu tueleze
AminaNimeanza kazi juzi tu na nalipwa hyo hyo..nahs mungu alikutumia unifundishe jambo..shukrani
huvai
huna ndugu/jamaa
huumwi
80k unakula nini?
