Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
These guys should be serious... wanapunguza muda wabunge ile kulinda maslahi yao na kusingizia kupunguza garama.. gharama zipi wanazoziongelea hapo.. hilo bunge ndio wameona linatumia hela nyingi kulikosafari zaoza kwenda nje zenye kubeba baraza zima la mawaziri?? JK should be ahsamed of himself..muda wa kuchekacheka ufikie wakati atambue umeisha...