kikahe
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 1,350
- 282
Tumezoea kila mwaka wa fedha unapoanza bajeti ya serikali hutegemea mapato kwa kuongeza kodi kwenye vileo na sigara au vnywaji baridi. Je mwaka huu itakuwaje? Je misamaha ya kodi kwenye madini itaonolewa au kiini macho kitachezwa? Je mashirika ya dini yakiwekewa kodi shule na mahosipitali ya kidini tutayamudu kwa gharama mpya baada ya kuwekewa kodi? Nina hofu sana juu ya hili. Waan JF mnasemaje?