Bajeti ya 12m napata gari gani?

Bajeti ya 12m napata gari gani?

Kuna BMW unapata 2 kwa hiyo 12M na chenji ya service 👇
 
Kuna BMW unapata 2 kwa hiyo 12M na chenji ya service 👇
😂kwa bmw bora nitembee tu mkuu
 
Mkuu ingia sbt au be forward kule unapata gar 7m nzuri kabisa ila zinakuwa shida ndgondgo zinazorekebishika....+ Kodi 6-7m jumla 13m adi 14 adi mkononi.

Na nyngi ndo hzo unazoona show room za bongo zinauzwa 20m.
 
Back
Top Bottom