Magomeni one
JF-Expert Member
- Jul 4, 2025
- 1,131
- 2,627
hahah! Mkuu umewaza mbali.Ni ngumu sana kumshauri mtu anayekaribia kutapeliwa
hahah! Mkuu umewaza mbali.Ni ngumu sana kumshauri mtu anayekaribia kutapeliwa
Kwa fedha hiyo unapata Mazda Verisa, ambapo ni gari karibu sawa na ist. Ukiweza kuongeza Tshs. 1m na kuwa mvumilivu, unaweza kupata used ya kuagiza kabisa japanHabari wakuu, kwa bajeti ya 12m naweza pata gari gani zuri la kutembelea mjini hata kama ni kutoka kwa mtu namba E;
Nltaka IST ila naona wengi wanaanzia 14.5m. Naombeni msaada wa mawazo hapa
Inahitajika sana (demand). Watu walipenda muonekane wake wa ndani na nje, ipo vizuri kwenye utumizi wa mafuta na pia bodi lake ni gumu kidogo (inatunzika).Sababu ya kuuzwa bei ni nini maana leo nimeona mpaka ist 20m dah
💪Inahitajika sana (demand). Watu walipenda muonekane wake wa ndani na nje, ipo vizuri kwenye utumizi wa mafuta na pia bodi lake ni gumu kidogo (inatunzika).
Mpaka waliokuwa wanziita gari za kike, sasa hivi wanazitaka, maana kwa mji kama Dar zinaokoa sana bajeti. Basi uhitaji wa gari hii ulipokuwa mkubwa , automatically bei ikapanda.
Hiyo hela ndogo, atafute demu la mjini wale stareheSasa kama IST kibunju 14m unafikiri utapata gari ipi nzuri kwa 12m?
Noma sana mkuuHilo gari lazima ujifunze na ufundi kwanza.
Bora utembee tu kwa miguu🤣😂kwa bmw bora nitembee tu mkuu
Awe makini tu nyingine wamezipiga rangi ila zina matatizo kibao kwenye engineIngia mitanda ya kijamii gari zipo nyingi tu.
Aachane na dhana ya namba. Mfano DZG si sawa tu na EAA?Usiwe na haraka mil 12 IST no.E unapata tena iliyosimama haina kipengere!
Mkuu,Ungetafuta iyo iyo IST ya D hafu uifanyie service ata ya 500k inakua unyama kikubwa body iwe nzuri.
View attachment 3524538
Kuna Hii Honda Fit Gen 2 Mil 10 lakini Honda Hii gen bora uagize mwenyewe Jp unapata jumla kwa Mil 12-13
BTW kama swala ni namba E kuna chuma ya Mil 4 hapaView attachment 3524539
My point achana na namba. Tafuta gari nzuri.