Chipompo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2017
- 616
- 411
Wameuliza bei zikoje? usikwepe mkuu,vinginevyo tutaogopa kuulizaMpya
Wameuliza bei zikoje? usikwepe mkuu,vinginevyo tutaogopa kuulizaMpya
Inshallah, umesomeka, jamani huu ni utaratibu wetu tumekutana na case nyingi so kuna mda tunakua na order nyingi kuliko stock tunamueleza mteja ukweli. Mfano kuna sehemu unaagazi chipsi mhudum ndo anaenda kuandaa viazi.Hilo la Tin namba si lako ni swala la mteja na sio kweli kwamba kila mteja anakuja hana Tin namba labda useme kwamba mteja akate Tin namba akisha kamilisha ndio anakupa fedha anaondoka na chombo
Lakini haitatokea hata siku moja nikuachie fedha yangu ukae nayo kwa siku kumi ndio nije nichukue chombo na wakati huo kwenye show room nalipa fedha na kuondoka na chombo mda huo huo
Chief nikiweka bei hapa si sawa jamani bei zinabadirika kila siku wakat hii thread itabaki hapa trend ya prices kwa bidhaa nyingi zinabadirika Nitext nitakupa bei hakuna hakuna shidaWameuliza bei zikoje? usikwepe mkuu,vinginevyo tutaogopa kuuliza
NimewekaWalakini! weka picha japo tutathimini
poaNimeweka
Hapo Sasa Ndiyo Maana Kidogo Ukakasi Unapoonekana Kwa MbaliHilo la Tin namba si lako ni swala la mteja na sio kweli kwamba kila mteja anakuja hana Tin namba labda useme kwamba mteja akate Tin namba akisha kamilisha ndio anakupa fedha anaondoka na chombo
Lakini haitatokea hata siku moja nikuachie fedha yangu ukae nayo kwa siku kumi ndio nije nichukue chombo na wakati huo kwenye show room nalipa fedha na kuondoka na chombo mda huo huo
Hakuna chembe ya ukakasi, swala la delivery time tunajaribu kua wakweliHapo Sasa Ndiyo Maana Kidogo Ukakasi Unapoonekana Kwa Mbali
Kuna Member Katilia Shaka Akasema Atalia Mtu Sasa Hivi
Cha kufanya Asubirie siku kumi wakati Bajaj zipo hapo ni nini?Kwa mahitaji ya bajaji (pikipiki za magurudumu matatu) zinapatikana kwetu tupo temeke hospitali na yombo buza
NB utapata bajaji yako ndani ya siku kumi za kazi baada ya malipo. tin namba muhimu kwa ajili ya usajili. mawasiliano 0652659775
Ndani ya siku hizo (Within) sababu order nyingi kuliko stock pia tunataka mteja achugue rangi anayoitaka Baadh ya sababu karibu sana.Cha kufanya Asubirie siku kumi wakati Bajaj zipo hapo ni nini?
Wewe ni dalali au mwenye mali?Kwa mahitaji ya bajaji (pikipiki za magurudumu matatu) zinapatikana kwetu tupo temeke hospitali na yombo buza
NB utapata bajaji yako ndani ya siku kumi za kazi baada ya malipo. tin namba muhimu kwa ajili ya usajili. mawasiliano 0652659775
Sio dalali. Ndani ya siku 10 inaweza kua hata tatu kwa kawaida, sababu nimezitoa [HASHTAG]#Prince[/HASHTAG] KuntaWewe ni dalali au mwenye mali?
Siku 10 mbona nyingi sana mkuu
Weka bei za leo bei zikibadilika utaedit tu uzi wako shida iko wapi jombaa.Chief nikiweka bei hapa si sawa jamani bei zinabadirika kila siku wakat hii thread itabaki hapa trend ya prices kwa bidhaa nyingi zinabadirika Nitext nitakupa bei hakuna hakuna shida
Si kweli hata hivo hatupokei hela ya mteja cash malipo yote yanafanyika bank. Njoo ofisini Kwann uwaze kutapeliwa Kizembe namna hiiHuyu jamaaa hana ofisi wala hana bajaji anataka apige udalali umpe 7000000 ndani ya wiki atakua kaisha piga deal
Ibiweni kivingine lakini sio kipumbavu pimbavu namna hii