Bajaji zinapatikana Temeke

Bajaji zinapatikana Temeke

na wapo watajiingiza 'unyolewa' bila chembe ya shaka. watanzania tunahitaji maombi. nimejaribu kukumbuka ngao ya pick up niliyoisoma miaka ya 2003, NO EASY TASK!
True but tuwe positive sometime tusiivuruge hii platform. kama kuna kitu hakipo sawa tushauriane Asante
 
Nani wa kukuachia milioni saba zake kwa siku kumi kirahisi rahisi hivo ebooo
Ndani ya siku kumi inaweza kuwa hata 3 Itategemea na order tuliyo nayo ili mteja achague na rangi anayoitaka. Pia ikiwa na haraka tunafanya fasttrack.
 
Siku 10 hapana mkuu. Tunanunua gari na usajili unafanyika ndani ya masaa 3 tu unaondoka na gari yako. Hiyo tin namba ukienda tra ni kazi ya muda mfupi sana inakuwa imetoka.
Correct. Lakini gari inakuja Hapa kwetu ikiwa complete (assembled) Ukiwa umechagua specification zote Pikipiki haziko hivo bila shaka unafahamu, Huwezi kupredict mteja atachagua rangi gani.
 
Asante kwa ushauri Tunauza za magurudumu matatu pia za mawili aina ya TVS TU. Nimeweka mawasiliano kwa maelezo zaidi
Tangu Uanzishe Thread Yako Ukisoma Comment Za Members Huoni Wanakutilia Mashaka Sasa Wewe Umekomaa Unasema Number Ya Simu Ipo Kwenye Tangazo
Jiongeze Kuna Mambo Madogo Ambayo Ukiweka Mambo Yanakwenda Vema Kabisa

Yaani Mtu Akupigie Halafu Uanzishe Ubabaishaji Unashindwa Nini Kusema Bei Kwenye Tangazo Lako Halafu Wenye Uhitaji Ndiyo Wakupigie Ili Waje Hapo Ofisini Kwako
Unafanya Biashara Kama Zama Za Kale Za Mawe
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Kweli mkuu lakini kumbuka kuna mambo ya usajili Naa vibali Hivo tunategemea isizidi siku kumi kutokana na order tulizo nazo. Lakini tuna fasttruck service ukiwa na haraka
Kwani usajili lazima mfanye nyie wenyew
 
Ukienda yard kulipia gari unaondoka nalo siku hyo hyo likiwa kamili kwa kila kitu..et bajaj unasubir siku kumi duh!
 
Tangu Uanzishe Thread Yako Ukisoma Comment Za Members Huoni Wanakutilia Mashaka Sasa Wewe Umekomaa Unasema Number Ya Simu Ipo Kwenye Tangazo
Jiongeze Kuna Mambo Madogo Ambayo Ukiweka Mambo Yanakwenda Vema Kabisa

Yaani Mtu Akupigie Halafu Uanzishe Ubabaishaji Unashindwa Nini Kusema Bei Kwenye Tangazo Lako Halafu Wenye Uhitaji Ndiyo Wakupigie Ili Waje Hapo Ofisini Kwako
Unafanya Biashara Kama Zama Za Kale Za Mawe
Asante [HASHTAG]#kenedy[/HASHTAG] kuna namna Baadhi ya wa Tz wamechagua kutumia na Hii mitandao (perception) Kwa namna tofauti Hawa hata ufanye nn wao kila kitu kwao ni utapeli, Nimekuelewa I take note for this
 
Levites uuzaji wa bajaj una changamoto zake hilo sikatai lakini naamini umekosea uletaji wa tangazo lako, fanya hivi:-
1. taja jina la ofisi yako.
2. piga picha ofisi yako iweke.
3. punguza delivery time iwe at least iwe siku 3 za kazi.
4. sio lazima uweke bei sababu kuna mabadiliko ya bei always.
5. watajie wateja aina za pikipiki unazouza.
6. Jiandae kwa uchochezi 😉
Hiyo sehemu ya ofisi uliyoitaja sio ELGORN TRADERS?..
 
Kweli maisha yamekaza kwa maana naona huyu bwana anaanza utapeli wa macho macho na anakomaa kweli kweli akiamini wote tuna akili ya kijinga kama yake
Ukimwambia anasema eti inachelewa kwa ajili ya Tin namba, wewe tafuta fedha kwa njia nyingine sio utapeli
 
Kweli mkuu lakini kumbuka kuna mambo ya usajili Naa vibali Hivo tunategemea isizidi siku kumi kutokana na order tulizo nazo. Lakini tuna fasttruck service ukiwa na haraka
Gari unaenda showroom unalipia na siku hiyohiyo unaondoka na mchuma wako full registered... afu kibajaji nikisubirie kwa siku kumi?

Astaghafurulilah!
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Siku 10 hapana mkuu. Tunanunua gari na usajili unafanyika ndani ya masaa 3 tu unaondoka na gari yako. Hiyo tin namba ukienda tra ni kazi ya muda mfupi sana inakuwa imetoka.
Seriously hata mi nimemshangaa. Kama gari unasajili kwa masaa mawili inakuwaje bajaji isajiliwe kwa siku kumi (tena za kazi)
 
Kwa mahitaji ya bajaji (pikipiki za magurudumu matatu) zinapatikana kwetu tupo temeke hospitali na yombo buza

NB utapata bajaji yako ndani ya siku kumi za kazi baada ya malipo. tin namba muhimu kwa ajili ya usajili. mawasiliano 0652659775

Ofisi zenu ziko Temeke Hospitali wodi namba ngapi?
 
Haa😀😀😀😛😛😛
Nilimwambia Tangazo Lake Aliboreshe
Nakili tangazo linamapungufu Lakini kumbukeni mode pia wanafanya yao wanaedit Kuanzia title anyway hata Hivo anaehitaji tuwasiĺiane kwa namba tajwa
 
Ndï
Gari unaenda showroom unalipia na siku hiyohiyo unaondoka na mchuma wako full registered... afu kibajaji nikisubirie kwa siku kumi?

Astaghafurulilah!
Kweli maisha yamekaza kwa maana naona huyu bwana anaanza utapeli wa macho macho na anakomaa kweli kweli akiamini wote tuna akili ya kijinga kama yake
Ukimwambia anasema eti inachelewa kwa ajili ya Tin namba, wewe tafuta fedha kwa njia nyingine sio utapeli
naona hujanielewa mkuu Tin namba si sababu pekee Ninacho sema ni ndani ya siku kumi najua kuna sehemu unalipa unaondoka na chombo ni utaratibu wao
 
Ndï


naona hujanielewa mkuu Tin namba si sababu pekee Ninacho sema ni ndani ya siku kumi najua kuna sehemu unalipa unaondoka na chombo ni utaratibu wao
Hilo la Tin namba si lako ni swala la mteja na sio kweli kwamba kila mteja anakuja hana Tin namba labda useme kwamba mteja akate Tin namba akisha kamilisha ndio anakupa fedha anaondoka na chombo
Lakini haitatokea hata siku moja nikuachie fedha yangu ukae nayo kwa siku kumi ndio nije nichukue chombo na wakati huo kwenye show room nalipa fedha na kuondoka na chombo mda huo huo
 
Back
Top Bottom